Ni kweli mawazari tunao wengi, ila Mh Lukuvu ni zaidi ya waziri, kuna mtu anaogopa kufunikwa....

Paulsylvester

JF-Expert Member
Oct 15, 2021
1,467
3,381
1 Nchi yetu kupata maendeleo ya kweli, mpaka watu wote wenye wivu kwa watu wachapa kazi watakapoacha kuzaliwa!

2. Ili nchi yetu ifikie maendeleo ya kweli, tunapaswa tupate katiba itakayotoa mwongozo wa wananchi wenyewe kuwakataa wazembe na kuwakingia kifua wote wachapakazi na wapenda maendeleo katika nchi yetu

3. Ili nchi yetu tupate maendeleo ya dhati, nashawishika kusema, hata mgombea wa uraisi wananchi ndio watoe mapendekezo ya nani wanafikiri anaweza kupeperusha Bendera kutoka kwenye vyama vyao, hii itasaidia kuondoa hira za watu wachapa kazi!
Sifahamu njia bora itakayotumika kwa urahisi kufanyika hilo,

Watu wote wenye ndoto kubwa na Tanzania huwa wanaishia kufukuzwa chama, ama kufanyiwa mizengwe ili tu wasifikie huko, hasa wenye misimamo ya kweli isiyo yumba kuhusu ukweli wa haki za wananchi

Ndiyo, Tumekuwa na mawaziri wengi, ila Mh Lukuvi amekuwa zaidi ya waziri

Mh Lukuvu, popote ulipo, watanzania wanajua, dunia inajuwa kwamba wewe, ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo Mkubwa wa kuchapa kazi na kusimamia kwa nguvu zote haki za wananchi

Wayahudi wakamuuliza Herode, Kwa nini umeamlisha Msalabani kuandikwe, Huyu ndiye mfalme wa wayahudi,?

Herode akasema, Lililoandikwa limeandikwa!

Mh Lukuvu, Kilichoandikwa juu yako, hakitajarisha chichote katika safari yako,Ni sharti kitimie, Mungu akubariki kwa kazi yako njema na kubwa sana kwa nchi yako unayoipenda kwa moyo wako wote!!

Nakupenda Tanzania nitakulinda kwa nguvu zangu zote!
 
Rais ni mwoga sana. Ana hofu na wenzie CCM na vyama vya upinzani. Na anajua hawezi kushinda uchaguzi ktk ushindani wa kweli na wa haki. Na ndio maana Mbowe yuko jela. Kabla ya 2025, tutaona mengi sana. Ili aendelee kuwa Rais, atalazimika kuwa dikteta uchwara tu. Katika mazingira ambayo uchaguzi unakuwa wa haki katika CCM na dhidi ya vyama vya upinzani, hawezi kushinda. Na hilo analijua sana.
 
Kila Zama na kitabu chake imeisha hiyo...
IMG_20211223_221029.jpg
 
Naanza kukubaliana na hoja ya kuwa Rais wa Muungano ni kama rais wa Tanganyika, kwa sasa tuna rais wa Tanganyika mnzanzibari ndio maana hajali sana matokeo ya uongozi wake anaona hayamhusu!

Tunaokumbuka mzee Mwinyi alifanya hivihivi, alivuruga sana misingi ya nchi hii!
Japo yeye alikuwa mbaya lkn ulowezi wa zanzibar ulimharibu sana..
 
Naomba ile nidhsmu ya uwoga ituishe sasa,

Mawaziri hawawezi kupitisha miswada mibovu ya serikali, Ni wakati wa wabunge sasa kusimamia haki bila kuogopa ukubwa wa vyama, miradi mibovu yote pigeni chini hata kwa kura ya wazi!
 
Samia anapaswa kustaafishwa after 2025. Crueless. Nchi imegeuka/imerudi kuwa shamba la bibi. Na bado…
Tuanzisheni mchakato wa kumuondoa Samia kikatiba ya CCM kwani anaonekana wazi wazi kwamba hana nia nzuri na nchi yetu mishipa ya shingo inamtoka jukwaani akisisitiza atakopa atakopa Rais gani wa nchi anasimama jukwaani kulilia kwenda kuyavaa mabenki ya nje kukopa??,,, kumtoa Lukuvi wizara ya ardhi kweliii??? Nape kumbe kujipendekeza kote kule ilikuwa ni dili la uwaziri na Ridhiwani pia waziri ama kweli Tanzania sasa imeisha
Angalieni utumbo wa teuzi za Tanesco kwenye ulaji na leo ardhi ambako umiliki wa ardhi wa vigogo ilikuwa ishu nzito leo Lukuvi kaondolewa ili Samia awafurahishe wahalifu
Kiufupi Samia hatufai na mjadala sasa uwe huo
 
Naanza kukubaliana na hoja ya kuwa Rais wa Muungano ni kama rais wa Tanganyika, kwa sasa tuna rais wa Tanganyika mnzanzibari ndio maana hajali sana matokeo ya uongozi wake anaona hayamhusu!

Tunaokumbuka mzee Mwinyi alifanya hivihivi, alivuruga sana misingi ya nchi hii!
Japo yeye alikuwa mbaya lkn ulowezi wa zanzibar ulimharibu sana..
Ubaguzi hauko mbali sana na ngozi za baadhi ya watu, unahitaji kuchokozwa kidogo ili uamke.
 
1 Nchi yetu kupata maendeleo ya kweli, mpaka watu wote wenye wivu kwa watu wachapa kazi watakapoacha kuzaliwa!

2. Ili nchi yetu ifikie maendeleo ya kweli, tunapaswa tupate katiba itakayotoa mwongozo wa wananchi wenyewe kuwakataa wazembe na kuwakingia kifua wote wachapakazi na wapenda maendeleo katika nchi yetu

3. Ili nchi yetu tupate maendeleo ya dhati, nashawishika kusema, hata mgombea wa uraisi wananchi ndio watoe mapendekezo ya nani wanafikiri anaweza kupeperusha Bendera kutoka kwenye vyama vyao, hii itasaidia kuondoa hira za watu wachapa kazi!
Sifahamu njia bora itakayotumika kwa urahisi kufanyika hilo,

Watu wote wenye ndoto kubwa na Tanzania huwa wanaishia kufukuzwa chama, ama kufanyiwa mizengwe ili tu wasifikie huko, hasa wenye misimamo ya kweli isiyo yumba kuhusu ukweli wa haki za wananchi

Ndiyo, Tumekuwa na mawaziri wengi, ila Mh Lukuvi amekuwa zaidi ya waziri

Mh Lukuvu, popote ulipo, watanzania wanajua, dunia inajuwa kwamba wewe, ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo Mkubwa wa kuchapa kazi na kusimamia kwa nguvu zote haki za wananchi

Wayahudi wakamuuliza Herode, Kwa nini umeamlisha Msalabani kuandikwe, Huyu ndiye mfalme wa wayahudi,?

Herode akasema, Lililoandikwa limeandikwa!

Mh Lukuvu, Kilichoandikwa juu yako, hakitajarisha chichote katika safari yako,Ni sharti kitimie, Mungu akubariki kwa kazi yako njema na kubwa sana kwa nchi yako unayoipenda kwa moyo wako wote!!

Nakupenda Tanzania nitakulinda kwa nguvu zangu zote!
Kijana uliingia JF oktoba 2021 umekuja mumtetea Lukuvi ambaye JPM alimwambia hawezi kuwa Rais b'se Nini Age ameshazeeka
 
Tuanzisheni mchakato wa kumuondoa Samia kikatiba ya CCM kwani anaonekana wazi wazi kwamba hana nia nzuri na nchi yetu mishipa ya shingo inamtoka jukwaani akisisitiza atakopa atakopa Rais gani wa nchi anasimama jukwaani kulilia kwenda kuyavaa mabenki ya nje kukopa??,,, kumtoa Lukuvi wizara ya ardhi kweliii??? Nape kumbe kujipendekeza kote kule ilikuwa ni dili la uwaziri na Ridhiwani pia waziri ama kweli Tanzania sasa imeisha
Angalieni utumbo wa teuzi za Tanesco kwenye ulaji na leo ardhi ambako umiliki wa ardhi wa vigogo ilikuwa ishu nzito leo Lukuvi kaondolewa ili Samia awafurahishe wahalifu
Kiufupi Samia hatufai na mjadala sasa uwe huo
Mkuu kama umekasirika piga ngumi ukuta au kama zimezidi sana vunja vunja vipande vya chupa unywe.
 
Back
Top Bottom