Inasemekana Marekani ameifanyia China umafia kwa kupandikiza virusi vya CORONA ili kushusha uchumi wake.
Ukumbuke migogoro ya kibiashara kati ya USA na CHINA inazidi kushusha uchumi wa China kwa kasi ya ajabu.
Marekani wana historia ya kufanya unyama kama huo na kwa vile technolojia ya kufanya hivyo wanayo, hakuna sababu ya kutokuamini hivyo.Inasemekana Marekani ameifanyia China umafia kwa kupandikiza virusi vya CORONA ili kushusha uchumi wake.
Ukumbuke migogoro ya kibiashara kati ya USA na CHINA inazidi kushusha uchumi wa China kwa kasi ya ajabu.
Mshana nimefuatilia jambo hili kwa undani, si kweli, after all "new coronavirus"ni virus ya hivi karibuni tu, mpya wamefanya lini huo utafiti? Tuwe wajanja na makini jamani, jamaa naona wako determined kuwalisha watu cocaine bila kupenda.Hizi ni fake news za Sky news na YouTube.
Mshana nimefuatilia jambo hili kwa undani,si kweli,after all "new coronavirus"ni virus ya hivi karibuni tu,mpya,wamefanya lini huo utafiti?Tuwe wajanja na makini jamani,jamaa naona wako determined kuwalisha watu cocaine bila kupenda.Hizi ni fake news za Sky news na YouTube.
Wabongo hzi story ndo wanapenda, Tanzania ni soko kubwa Sana la movie na series za nje ,inaingoza Africa masharkNot true,soma kwa undani acha uvivu,nasikia uvivu kuweka evidences maana ziko nyingi kuwa mmarekani hahusiki ndo maana China hainyooshei kidole,marekani haihusiki na hilo acheni story za kashaka na kahawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabid China wakulipe maana umewafumbua akiliInasemekana Marekani ameifanyia China umafia kwa kupandikiza virusi vya CORONA ili kushusha uchumi wake.
Ukumbuke migogoro ya kibiashara kati ya USA na CHINA inazidi kushusha uchumi wa China kwa kasi ya ajabu.
Acha uvivu weka evidencesNot true,soma kwa undani acha uvivu,nasikia uvivu kuweka evidences maana ziko nyingi kuwa mmarekani hahusiki ndo maana China hainyooshei kidole,marekani haihusiki na hilo acheni story za kashaka na kahawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu be logical.Kitaalamu viruses are very easy to bio-engineer,na sio siri kwamba scientists wa Marekani wanafanya sana bioengineering ya viruses for biological warfare.HIV-Virus,Ebola,SARS,Herpatitis A-D,Mad Cow Disease,zote ni bioengineered.And why bio-engineer viruses.Nia inaweza kuwa nzuri:for medical purposes,lakini inaweza pia kuwa mbaya:for warfare and purposely causing disease.Not true,soma kwa undani acha uvivu,nasikia uvivu kuweka evidences maana ziko nyingi kuwa mmarekani hahusiki ndo maana China hainyooshei kidole,marekani haihusiki na hilo acheni story za kashaka na kahawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Page not found....ukurasa hauonekani