Jana man utd wamewalaza fc chelsea mabao 3 kwa 1. Na kabla ya hapo waliwachabanga arsenal mabao 8. Sasa kwa kutumia vigezo hivyo ukizingatia chelsea na arsenal ni timu bora ulaya, je man utd ni clab bora ulaya?
Jana man utd wamewalaza fc chelsea mabao 3 kwa 1. Na kabla ya hapo waliwachabanga arsenal mabao 8. Sasa kwa kutumia vigezo hivyo ukizingatia chelsea na arsenal ni timu bora ulaya, je man utd ni clab bora ulaya?