Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,371
- 17,139
Katiba inamzuia kuajiriwa tena ....wala kuteuliwa sehemu yeyote serikalini labda privatemm mkristo, ila sehem nyeti za uongozi zikishililiwa na waislamu maisha yanakuwa ya haki na mazuri..
ijapo sio wote though
mwinyi ali hassan, kikwete now samia
namkumbuka prof Assad pia, hiki chuma kwann wasikipangie majukumu mengine?