Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,586
- 5,936
Habari wakuu na wanajamvi,
Kuna tetesi zinasambaa mitandaoni toka chini ya kapeti zinazodai ya kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bwana Paul Makonda yupo mikononi mwa vyombo vya dola kwa ajili ya tuhuma mbalimbali zinazomkabili.
Yaani kwa kifupi inasemekana Makonda tayari ameanza kuhojiwa na Takukuru.
Je, ni kweli?
PIA, SOMA:
- TAKUKURU wakanusha kumshikilia Makonda
Kuna tetesi zinasambaa mitandaoni toka chini ya kapeti zinazodai ya kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bwana Paul Makonda yupo mikononi mwa vyombo vya dola kwa ajili ya tuhuma mbalimbali zinazomkabili.
Yaani kwa kifupi inasemekana Makonda tayari ameanza kuhojiwa na Takukuru.
Je, ni kweli?
PIA, SOMA:
- TAKUKURU wakanusha kumshikilia Makonda