Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,801
Kuna mkuu wa shule fulani Mkoani Iringa aliwahi kuingia matatani baada ya kupokea msaada wa madawati kutoka kwa Mh. Msigwa.
Sehemu mbalimbali nimekuwa nikiskia baadhi ya taasisi zikikwepa au kugoma kabisa kupokea misaada ya Wapinzani, lakini Serikali imekuwa ikijinasibu kuwa maendeleo hayana vyama.
Hebu tuijadili hii kauli kwa kulinganisha na tunayoyaona mahali tunapoishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu mbalimbali nimekuwa nikiskia baadhi ya taasisi zikikwepa au kugoma kabisa kupokea misaada ya Wapinzani, lakini Serikali imekuwa ikijinasibu kuwa maendeleo hayana vyama.
Hebu tuijadili hii kauli kwa kulinganisha na tunayoyaona mahali tunapoishi.
Sent using Jamii Forums mobile app