majira siku hizi ndivyo walivyo computer zao zimeingia virus
Mkuu, Labda huelewi process inayotumika mpaka gazeti linaingia mtaani...ndio maana unaongea kirahisi rahisi kuwa ni makosa ya kibinadamu! kazi ya wahariri ni nini? kazi ya msoma gazeti kabla ya kuchapishwa ni nn?Sijaona lolote la ajabu zaidi ya kuelewa ni makosa ya kibinadamu.