Maria Kejo toka sheria na Salome Makange toka madini ambao nao walihusika kwa namna moja au nyingine kusaini mikataba inayopigiwa kelele.
yote ni mazingaombwe, viinimacho, na wepesi wa vidole!
Kaka umejaaliwa kwa VIJEMBE!!!! Yaani wepesi wa vidole kuwasilisha kabla havijaiva, ama hatari ya 'kulishwa kasa'kwa taarifa ambazo si sahihi?
taarifa ni kwamba habari hizi, zimo katika moja ya magazeti ya kila siku toleo la kesho Jumamosi
kuna watu wengine wana kiburi kweli, yaani kwa vile utaumizwa tuogope kuwaambia ukweli?