Amani iwe kwenu wn jf.Ni muda ss tangu majumba ya machinga complex yaanze kutumika rasm.kwa lengo la kuwapatia ajira watanzani.kwa maoni yangu ajira walizopata watz hao haziwanufaishi kwa sababu zifuatazo.0
1)wafanyabiashara wa mjumba hayo hawana wateja wa kutosha.hii husbbisha iledhamira ya kujikomboa na umasikini kukwama.wengi wa wateja huenda kariakoo.manzese na ilala kwani bidhaa zinazouzwa machinga zinapatikana kwa wingi.
2)Licha ya yote ushuru unaotozwa ni mkubwa kulinganisha na biashara ilivyo hususani majengo juu.
3)Mtaji mdogo wa wafanyabiashara hivyo kutohimili ushindani wa kibiashara km vile matangazo na kadhalika. Katukisema wakope cha kulipa watakipata wapi na biashara nyenyewe haitoki.
Ni vyema serikali kuangalia kwa makini isijekuwa badala ya kupiga vita umasikini wakatengeneza umasikini.
JE WW UNAMCHANGO GANI KUHUSU HILI?
1)wafanyabiashara wa mjumba hayo hawana wateja wa kutosha.hii husbbisha iledhamira ya kujikomboa na umasikini kukwama.wengi wa wateja huenda kariakoo.manzese na ilala kwani bidhaa zinazouzwa machinga zinapatikana kwa wingi.
2)Licha ya yote ushuru unaotozwa ni mkubwa kulinganisha na biashara ilivyo hususani majengo juu.
3)Mtaji mdogo wa wafanyabiashara hivyo kutohimili ushindani wa kibiashara km vile matangazo na kadhalika. Katukisema wakope cha kulipa watakipata wapi na biashara nyenyewe haitoki.
Ni vyema serikali kuangalia kwa makini isijekuwa badala ya kupiga vita umasikini wakatengeneza umasikini.
JE WW UNAMCHANGO GANI KUHUSU HILI?