mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,052
- 5,426
Ninarudia tunataka kutetea wananchi wetu na uhai wao basi!Kama kweli mna hasira bas hao majamaa wanatakiwa wasiwe na malinda
Ninarudia tunataka kutetea wananchi wetu na uhai wao basi!Kama kweli mna hasira bas hao majamaa wanatakiwa wasiwe na malinda
Hivi ni kweli alimkana baba yake mdogo,, kwaninj kibatala hakumkomalia hapo?Urio yaliyomkuta anayajua yeye na Mungu wake !! kifupi ni wa kumhurumia - usifikiri anafika hatua ya kumkana Baba yake mdogo kwa bahati mbaya.
InawezekanaMimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
Wewe ukweli unaujua? Acha tabia za kidikiteta. Zama zimebadilikaJe ulikuwepo siku ya tukio?
Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?
Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.
Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.
Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Dalili za ujinga unazoJe ulikuwepo siku ya tukio?
Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?
Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.
Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.
Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Conspiracy theory...kwa mwenendo wa Shauri mahakamani hauko mbali sana na dhahania yako.Mimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
Adv.Kibatala kazi yake ilikuwa ni kuuliza maswali tu, Jaji anaandika.Hivi ni kweli alimkana baba yake mdogo,, kwaninj kibatala hakumkomalia hapo?
Hakuna Mchagga asiye na Kadi ya chademaKuna kila dalili Luteni Urio alikuwa na mpango wa kula hela za Mbowe kupitia wale vijana na wakati huo huo alikuwa na matarajio kuwa CHADEMA ingeshinda angepata ukubwa Jeshini. Hilo lina asilimia kubwa ya ukweli.
Luteni Urio baada ya kuona mambo yamebadilika aliamua kugeuka ingawa inavyosemwa kugeuka kwake kulikuwa ni baada ya muda mrefu sana sana na hata maelezo yake yalibandikwa tarehe ingine ya nyuma ili kuyahalalisha.
Za chini chini zinaonesha kuwa Urio alikuwa ni mpenzi mkubwa na wa kweli wa CHADEMA na hata kadi anayo. Lakini baada ya kuonesha huo ushabiki wake wa wazi wazi alishtukiwa na Mwajiri wake na Serikali pia na ndiyo maana alichobaki nacho ni kuendelea kujitetea ili asipoteze ugali wake.
Haya niliyoyaandika yatajitokeza mara pale Jaji atakapotamka kuwa akina Mbowe wana kesi ya kujibu na wao kuanza kujitetea.
Haya yanaweza tu kubaki tetesi iwapo Jaji ataamua kuwa washtakiwa hawana kesi ya kujibu kwani mchezo ndiyo utakuwa umeishia hapo!
Yeah, let's wait and seeConspiracy theory...kwa mwenendo wa Shauri mahakamani hauko mbali sana na dhahania yako.
Time will tell soon.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweliHakuna Mchagga asiye na Kadi ya chadema
Mwaka 1995 hakuna Mchagga ambaye kiuwazi au kisiri hakuwa kwa mrema, na mwaka 2015 hakuna mchagga hakuwa mwanachama au mpenzi kiuwazi au kisiri wa chademaSio kweli
Yule alikuwa dalali wa kuunganisha mbowe apate walinzi sema alipodakwa (walikuwa wanafuatiliwa kimtandao)ndio akaamua kubadilishia gia angani kwa kupangwa aseme mbowe ni gaidi ila yeye kama yeye mpaka sasa yuko chini ya ulinzi mkali tena sana.Kuna kila dalili Luteni Urio alikuwa na mpango wa kula hela za Mbowe kupitia wale vijana na wakati huo huo alikuwa na matarajio kuwa CHADEMA ingeshinda angepata ukubwa Jeshini. Hilo lina asilimia kubwa ya ukweli.
Luteni Urio baada ya kuona mambo yamebadilika aliamua kugeuka ingawa inavyosemwa kugeuka kwake kulikuwa ni baada ya muda mrefu sana sana na hata maelezo yake yalibandikwa tarehe ingine ya nyuma ili kuyahalalisha.
Za chini chini zinaonesha kuwa Urio alikuwa ni mpenzi mkubwa na wa kweli wa CHADEMA na hata kadi anayo. Lakini baada ya kuonesha huo ushabiki wake wa wazi wazi alishtukiwa na Mwajiri wake na Serikali pia na ndiyo maana alichobaki nacho ni kuendelea kujitetea ili asipoteze ugali wake.
Haya niliyoyaandika yatajitokeza mara pale Jaji atakapotamka kuwa akina Mbowe wana kesi ya kujibu na wao kuanza kujitetea.
Haya yanaweza tu kubaki tetesi iwapo Jaji ataamua kuwa washtakiwa hawana kesi ya kujibu kwani mchezo ndiyo utakuwa umeishia hapo!
Kingai , Mahita na Jumanne hawataiona MbinguMimi nina hasira na goodluck Kingai jumanne swila Mahita na msekwa. Hawa wameua ndugu zetu hawawezi kujikausha hivi hata kwa shiriki wajue tupo front kwa mparange tutawafikisha
General Lengai Ole SabayaMimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
Huwezi kukomalia swali moja alilokwisha likana. Unaendelea kuuliza maswali mengine. Mahakamani siyo kukomaliana, ni kuuliza maswali kwaajili ya kujenga doubts. Maswali mengine ni kumuonesha shahidi kwamba tunajua mengi juu yako. Huko mbele kwenye zamu ya mashahidi wa utetezi, haya maswali ya sasa yanakua yamejenga msingi kwa ushahidi wao.Hivi ni kweli alimkana baba yake mdogo,, kwaninj kibatala hakumkomalia hapo?
Huyu alikuwa anaatoa maelekezo tuGeneral Lengai Ole Sabaya
Mara Paaap unakuta Kesho ndiye Shahidi anaingiaAseee unamaanisha Lijenje?
Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck, wote walikua ni kutoka polisi Arusha ambako Sabaya ndiyo base yake iliko. Sabaya ndiye aliye organise huu mchongo, na hakutaka kutumia polisi wa Moshi kwa sababu hakuwa na good terms na Polisi Moshi (Kilimanjaro).Huyu alikuwa anaatoa maelekezo tu