Ni kweli Luteni Urio alitoa taarifa ya tukio au baada ya kushtukiwa mpango wake akawageuka?

Urio yaliyomkuta anayajua yeye na Mungu wake !! kifupi ni wa kumhurumia - usifikiri anafika hatua ya kumkana Baba yake mdogo kwa bahati mbaya.
Hivi ni kweli alimkana baba yake mdogo,, kwaninj kibatala hakumkomalia hapo?
 
Mimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
Inawezekana
 
Je ulikuwepo siku ya tukio?

Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?

Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.

Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.

Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Wewe ukweli unaujua? Acha tabia za kidikiteta. Zama zimebadilika
 
Je ulikuwepo siku ya tukio?

Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?

Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.

Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.

Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Dalili za ujinga unazo
 
Mimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
Conspiracy theory...kwa mwenendo wa Shauri mahakamani hauko mbali sana na dhahania yako.

Time will tell soon.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kila dalili Luteni Urio alikuwa na mpango wa kula hela za Mbowe kupitia wale vijana na wakati huo huo alikuwa na matarajio kuwa CHADEMA ingeshinda angepata ukubwa Jeshini. Hilo lina asilimia kubwa ya ukweli.

Luteni Urio baada ya kuona mambo yamebadilika aliamua kugeuka ingawa inavyosemwa kugeuka kwake kulikuwa ni baada ya muda mrefu sana sana na hata maelezo yake yalibandikwa tarehe ingine ya nyuma ili kuyahalalisha.

Za chini chini zinaonesha kuwa Urio alikuwa ni mpenzi mkubwa na wa kweli wa CHADEMA na hata kadi anayo. Lakini baada ya kuonesha huo ushabiki wake wa wazi wazi alishtukiwa na Mwajiri wake na Serikali pia na ndiyo maana alichobaki nacho ni kuendelea kujitetea ili asipoteze ugali wake.

Haya niliyoyaandika yatajitokeza mara pale Jaji atakapotamka kuwa akina Mbowe wana kesi ya kujibu na wao kuanza kujitetea.

Haya yanaweza tu kubaki tetesi iwapo Jaji ataamua kuwa washtakiwa hawana kesi ya kujibu kwani mchezo ndiyo utakuwa umeishia hapo!
Hakuna Mchagga asiye na Kadi ya chadema
 
Kuna kila dalili Luteni Urio alikuwa na mpango wa kula hela za Mbowe kupitia wale vijana na wakati huo huo alikuwa na matarajio kuwa CHADEMA ingeshinda angepata ukubwa Jeshini. Hilo lina asilimia kubwa ya ukweli.

Luteni Urio baada ya kuona mambo yamebadilika aliamua kugeuka ingawa inavyosemwa kugeuka kwake kulikuwa ni baada ya muda mrefu sana sana na hata maelezo yake yalibandikwa tarehe ingine ya nyuma ili kuyahalalisha.

Za chini chini zinaonesha kuwa Urio alikuwa ni mpenzi mkubwa na wa kweli wa CHADEMA na hata kadi anayo. Lakini baada ya kuonesha huo ushabiki wake wa wazi wazi alishtukiwa na Mwajiri wake na Serikali pia na ndiyo maana alichobaki nacho ni kuendelea kujitetea ili asipoteze ugali wake.

Haya niliyoyaandika yatajitokeza mara pale Jaji atakapotamka kuwa akina Mbowe wana kesi ya kujibu na wao kuanza kujitetea.

Haya yanaweza tu kubaki tetesi iwapo Jaji ataamua kuwa washtakiwa hawana kesi ya kujibu kwani mchezo ndiyo utakuwa umeishia hapo!
Yule alikuwa dalali wa kuunganisha mbowe apate walinzi sema alipodakwa (walikuwa wanafuatiliwa kimtandao)ndio akaamua kubadilishia gia angani kwa kupangwa aseme mbowe ni gaidi ila yeye kama yeye mpaka sasa yuko chini ya ulinzi mkali tena sana.
Na baada ya kesi kuisha au kufika muafaka yeye kama yeye huenda akashtakiwa kijeshi vile vile na kazi huenda akakosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
General Lengai Ole Sabaya
 
Hivi ni kweli alimkana baba yake mdogo,, kwaninj kibatala hakumkomalia hapo?
Huwezi kukomalia swali moja alilokwisha likana. Unaendelea kuuliza maswali mengine. Mahakamani siyo kukomaliana, ni kuuliza maswali kwaajili ya kujenga doubts. Maswali mengine ni kumuonesha shahidi kwamba tunajua mengi juu yako. Huko mbele kwenye zamu ya mashahidi wa utetezi, haya maswali ya sasa yanakua yamejenga msingi kwa ushahidi wao.

Kibatala anaposema "Acha ikae hivyo" anajua ameweka akiba huko mbele. Urio kumkana baba yake mdogo na mambo mengine aliyoyakana, yatawekwa sawa na mashahidi wa utetezi.
 
Huyu alikuwa anaatoa maelekezo tu
Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck, wote walikua ni kutoka polisi Arusha ambako Sabaya ndiyo base yake iliko. Sabaya ndiye aliye organise huu mchongo, na hakutaka kutumia polisi wa Moshi kwa sababu hakuwa na good terms na Polisi Moshi (Kilimanjaro).

Kumbuka yule RPC aliyekua Kilimanjaro ambaye sasa ni Mkurugenzi wa TAKUKURU, alimkatalia wazi kabisa juu ya tuhuma alizozitunga Sabaya kwa wamiliki wa mabasi ya Lim Safaris na Machame Safaris, kuhusu kuharibu miundo mbinu ya Reli. Ulikua ni mchongo wa Sabaya kuwatuhumu uongo wafanyabiashara wale.

Kutokana na kutokua vizuri na Polisi Kilimanjaro, aliamua kutumia polisi wa Arusha ambako yuko nao vizuri na ndiko vilikua viwanja vyake na amekulia huko akiwa UVCCM.
 
Back
Top Bottom