omutimbasafi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 608
- 763
Kuna dada mmoja alishinda milioni kumi na tano katika droo za tusua mapene;anadai mzigo unasoma kwenye akaunti lakini walimwambia ataweza kuanza kuutumia baada ya siku 60.Hii ni kutokana eti;ajipange kwanza na kupunguza mchecheto.