Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Binafsi huwa si mtu wa kuangalia data zihusuzo mambo ya madini hapa Ulimwenguni lkn kwa hiki alichonieleza jamaa yangu mkenya kimenishtua sana!
Anadai kuanzia July Kenya ndiye bingwa wa kuchimba Madini mengi ya Tanzanite hapa Ulimwenguni.
Najiuliza huo mgodi wa madini ya Tanzanite wakenya wameutoa wapi?
Na kwanini baada ya kifo cha JPM madini ya Tanzanite yamehama Tanzania na kuelekea Kenya?
Vyombo vya dola hamlioni hilo tatizo?
Anadai kuanzia July Kenya ndiye bingwa wa kuchimba Madini mengi ya Tanzanite hapa Ulimwenguni.
Najiuliza huo mgodi wa madini ya Tanzanite wakenya wameutoa wapi?
Na kwanini baada ya kifo cha JPM madini ya Tanzanite yamehama Tanzania na kuelekea Kenya?
Vyombo vya dola hamlioni hilo tatizo?