Ni kweli kuwa watu wote walioko kwenye ndoa au waliooana wanapendana?

wanaume wengi huwa wanaanzia hapo, kwa sisi wanawake asilimia kubwa tunaanzia na love.

Sasa na hizi artificial love (za kichina china) zinatokea wapi?

Halafu kuna mambo umekuwa ukizungumzia (mf. kupika, usafi etc), mimi kwangu sikuyapa uzito hata kidogo ingawa niliomba niyapate na nimepata kweli. Mimi nilikuwa namtafuta rafiki wa kweli (tunayependana na kuridhishana) na hayo mapungufu yake nilikuwa tayari kuyabeba isipokuwa yale ya hatari kama ulevi, uongo na kugawa chakula cha mwenyewa kwa vijizi!
 
binafsi nilianza na love kisha nika plus alpha zangu, tukafunga ndoa ndio tukaingia kwenye sex.
 
Na wewe bana, haya soma hapa chini nilishasema mbona.


katika siku nilizokuelewa sana ni leo naomba invisible anipe ruhsa ya kukuwekea thank more than a million hizi nanihii za asubuhi sio nzuri sana .
The Following User Says Thank You to Chrispin For This Useful Post:

FirstLady1 (Today)

 
Kuna mifano mingi tu ya watu ambao walikuwa wanapendana sana tu.Na hata kujuana tabia vizuri,lakini baada ya muda wakiwa ndani ya ndoa upendo unaisha,tena wanakuwa maadui wakubwa(ninao mfano hai) Hii inatokana na nini wakuu?

Hao sina hakika kama walikuwa wanapendana. Nadhani walikuwa wanatamaniana na pia wamezoeana. Ilipofika mahala pa kuonesha upendo kwa kuyabeba mapungufu ya wenzao ndo ukweli ukwa hadharani. Nadhani kupendana ni jambo gumu sana hata kulienza likaeleweka vizuri.
 
binafsi nilianza na love kisha nika plus alpha zangu, tukafunga ndoa ndio tukaingia kwenye sex.[/QUOTE]

Hongera sana ndugu.

Hapo mhhh, ulikuwa na moyo sana. Binafsi nilichukulia hiyo risk sawa na kununua mbuzi kwenye gunia. Testing was mandatory!
 
Si kweli WOS wengine waliingia kwenye ndoa kwa sababu ya fashions na wao waonekane wanandoa :A S-rose:
Wengine waliingia kwenye ndoa kwa kujilazimisha
Wengine walibeba mimba ikawalazimu kuingia kwenye ndoa
Wengine wamefata pesa au mali ndani ya ndoa
Wengine wanajiegesha jua litulie kisha waendelee na safari
Wengine wapo kwa ajili ya heshima ya wazazi.
wengine ni kweli wanapendana..:A S-rose:
NK. Nk.

Umemaliza yote,sasa sijui nichangie nini sasa..Wewe nawe kuwafilisi wenzio ndio nini?
 
binafsi nilianza na love kisha nika plus alpha zangu, tukafunga ndoa ndio tukaingia kwenye sex.[/QUOTE]

Hongera sana ndugu.

Hapo mhhh, ulikuwa na moyo sana. Binafsi nilichukulia hiyo risk sawa na kununua mbuzi kwenye gunia. Testing was mandatory!

ungekuta testing haijakuridhisha inamaana ungemuacha?

so maybe ni kweli wanaume nao wanaoa kwa Mapenzi Plus Alpha. :D

wanawake na wanaume tuko pamoja kumbe................mapenzi matupu NO...mpaka Alpha ipatikane kumbe
 
binafsi nilianza na love kisha nika plus alpha zangu, tukafunga ndoa ndio tukaingia kwenye sex.

Hongera sana.
Swali....katika ndoa ulikuta mapungufu yoyote yanayotokana na kutotest kabla ya ndoa?(kama watu wengi wanavyodai) kama uliyakuta usiyotegemea ni yapi?
Kitu gani kilikupa hiyo nguvu ya kuvumilia mpka ndoa ndo mkasex?
 
ungekuta testing haijakuridhisha inamaana ungemuacha?

so maybe ni kweli wanaume nao wanaoa kwa Mapenzi Plus Alpha. :D

wanawake na wanaume tuko pamoja kumbe................mapenzi matupu NO...mpaka Alpha ipatikane kumbe

G, testing inafanyika ili kumpatia mtu uhakika kabla ya kufanya uamuzi. Test ikifeli maana yake uamuzi utafanyika (informed decision) badala ya kukurupuka. Ningeweza kuachia ngazi lakini pia kuna hizo factors nyingine (umeamua kuita alpha). Kwa ujumla kuna vitu vingi sana vya kuangalia na kama nilivyosema, kikubwa kwangu ilikuwa ni urafiki wetu. Ila kama ingeonekana sexually hatuko compartible ningeanza mbele. Mungu angenisamehe kwa hilo!
 
Kuna mifano mingi tu ya watu ambao walikuwa wanapendana sana tu.Na hata kujuana tabia vizuri,lakini baada ya muda wakiwa ndani ya ndoa upendo unaisha,tena wanakuwa maadui wakubwa(ninao mfano hai) Hii inatokana na nini wakuu?
Walikuwa hawapendani..walikuwa wanatamaniana... Period!!
 
Hongera sana.
Swali....katika ndoa ulikuta mapungufu yoyote yanayotokana na kutotest kabla ya ndoa?(kama watu wengi wanavyodai) kama uliyakuta usiyotegemea ni yapi?
Kitu gani kilikupa hiyo nguvu ya kuvumilia mpka ndoa ndo mkasex?

Kweli dada. G atueleze kulikuwa na sababu gani wakaamua kusubiri, na iliwachukua muda gani kusubiri? Lazima kulikuwa na motivation ya kufanya hivyo.

Halafu itakuwa vizuri akitueleza walikuwa na umri gani kabla ya kuoana na kama wote wawili waliwahi kuwa na mahusiano mengine kabla ya kukutana!
 
charity.....i strongly believe kuwa zinaa haikubaliki kwa mungu.................so i tried ku avoid kujiingiza katika mazingira yatakayopelekea huko.

hang out katika public places, at least semi-public places. masuala ya kwenda kwake sijui kumpikia i never did. nafikiri some privilagies ni baada ya kuona only.........if i dont go and cook to my friend why should i go and do it for him? if i dont go and sleep at my friend's, i wont do for a boyfriend, thank you very much!
 
charity.....i strongly believe kuwa zinaa haikubaliki kwa mungu.................so i tried ku avoid kujiingiza katika mazingira yatakayopelekea huko.

hang out katika public places, at least semi-public places. masuala ya kwenda kwake sijui kumpikia i never did. nafikiri some privilagies ni baada ya kuona only.........if i dont go and cook to my friend why should i go and do it for him? if i dont go and sleep at my friend's, i wont do for a boyfriend, thank you very much!
Asante.Naweza kusema Gaijin ni MLOKOLE!
kuna yale maswali mengine hujajibu.......tunasubiri!
 
hang out katika public places, at least semi-public places. masuala ya kwenda kwake sijui kumpikia i never did. nafikiri some privilagies ni baada ya kuona only.........if i dont go and cook to my friend why should i go and do it for him? if i dont go and sleep at my friend's, i wont do for a boyfriend, thank you very much!

Ulifanya jambo jema sana hasa kama hukuwahi kuhusiana kimwili na mtu mwingine kabla yake. Wengine hayo yalitushinda na kwa kweli nimeshaona baadhi ya madhara yake. Nasema ni nzuri kawa sababu kimsingi unakuwa huna yardstick ya kumpima/linganisha (kwa maana ya tendo la ndoa!)....huo ndio ulikuwa mpango wa Mungu.

Kuingia kwenye ndoa wakati umeshaonjaonja mara kadhaa sehemu zaidi ya moja wakati mwingine kunaleta matatizo kwa sababu tayari unakuwa unajua 'mema na mabaya' na hivyo unashindwa kuridhishwa na mmoja!
 
Asante.Naweza kusema Gaijin ni MLOKOLE!
kuna yale maswali mengine hujajibu.......tunasubiri!


hehehe u can not be any farther from the truth my dear. yaani hapo umepata sufuri lenye masikio hasa.....lol

it is just a matter of principles..............

usipovunja principles zako kwa faida ya mwengine hata na huyo mwengine ataziheshimu pia.


masuala mengine ngoja nijitayarishe ...........lol ....maana naona tumeingia personal territory zaidi.
 
Back
Top Bottom