jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
Habari ndugu zangu wa Jf!!
Nini kinaendelea hapa mi sijajua ila ninachokiona kama serikali haina hela ??
Kodi za vitu mbali mbali zimepanda!!
Kila kitu kipo juu,SAA iz kodi kila sehem had sehem ambazo hukuzani kumeanza kutozwa kodi!!
Ongezea kodi unazojua naww
Ukija swala LA Elimu ndo magumashi
HIVI INAKUAJE AWAMU HII MAMBO YA MIKOPO YANASUMBUA KULIKO MUHULA ULIOPITA
MARA uhakiki wa majina,Mara wanafuatilia wanafunzi hewa,Mara hela ya field magumashi,Mara wengine vilaza wanafukuzwa!!
JE NI KWELI SERIKALI HAINA HELA KUGHARIMIA WATU MIKOPO WANAYOPOKEA YA ELIMU?
NA KAMA IPO NN KINAENDELEA MBONA CHENGA NI NYINGI ??
KAMA NI KWELI HAINA HELA AWAM ILOPITA HELA ILIKUA INATOKA WAPI ?? JE ilikua n kodi? Au wafadhili?
Na kama wafadhili wamejitoa au VIP?
Mwenye kuelewa haya anifafanulie
Nini kinaendelea hapa mi sijajua ila ninachokiona kama serikali haina hela ??
Kodi za vitu mbali mbali zimepanda!!
Kila kitu kipo juu,SAA iz kodi kila sehem had sehem ambazo hukuzani kumeanza kutozwa kodi!!
Ongezea kodi unazojua naww
Ukija swala LA Elimu ndo magumashi
HIVI INAKUAJE AWAMU HII MAMBO YA MIKOPO YANASUMBUA KULIKO MUHULA ULIOPITA
MARA uhakiki wa majina,Mara wanafuatilia wanafunzi hewa,Mara hela ya field magumashi,Mara wengine vilaza wanafukuzwa!!
JE NI KWELI SERIKALI HAINA HELA KUGHARIMIA WATU MIKOPO WANAYOPOKEA YA ELIMU?
NA KAMA IPO NN KINAENDELEA MBONA CHENGA NI NYINGI ??
KAMA NI KWELI HAINA HELA AWAM ILOPITA HELA ILIKUA INATOKA WAPI ?? JE ilikua n kodi? Au wafadhili?
Na kama wafadhili wamejitoa au VIP?
Mwenye kuelewa haya anifafanulie