BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Habari za muda huu,
Kuna kauzushi fulani aliniambiaga girlfriend wangu fulani wakati huo. Yeye ni mtu wa Kondoa, yaani Mrangi
Aliniambia kama umekwich kwich na Mwanaume, halafu ukamfuta na kutambaa kwenye uume na wewe mwanamke ukajifuta kwenye uke wako halafu ukafunga fundo kile kitambaa ukaweka labda kabatini basi jamaa akienda kulala na Mwanamke mwingine, uume hausimami. Ila kwako inasimama
Je, Wanawake kuna ukweli wowote katika hili?
Niko kando nakunywa Al kasusu yangu hapa maskani nasubiria majibu yenu wote mnaofahamu hili
CC: Wanawake woote wa JamiiForums
Kuna kauzushi fulani aliniambiaga girlfriend wangu fulani wakati huo. Yeye ni mtu wa Kondoa, yaani Mrangi
Aliniambia kama umekwich kwich na Mwanaume, halafu ukamfuta na kutambaa kwenye uume na wewe mwanamke ukajifuta kwenye uke wako halafu ukafunga fundo kile kitambaa ukaweka labda kabatini basi jamaa akienda kulala na Mwanamke mwingine, uume hausimami. Ila kwako inasimama
Je, Wanawake kuna ukweli wowote katika hili?
Niko kando nakunywa Al kasusu yangu hapa maskani nasubiria majibu yenu wote mnaofahamu hili
CC: Wanawake woote wa JamiiForums