Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 738
Padri Privatus Karugendo alitoa hoja iliyonigusa. Alisema ilikuwaje Lipumba akamzidi Kikwete katika kura za Rais wa Jamhuri lakini Seif akashindwa kumzidi Shein?:angry::angry:
Naomba yeyote aliye na takwimu sahihi atusaidie kuzimwaga jamvini.
Naomba yeyote aliye na takwimu sahihi atusaidie kuzimwaga jamvini.