Ni kweli kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa?

FM

JF-Expert Member
Jul 2, 2009
202
5
Wana Jf nimepata taarifa ambazo naweza kuziita siyo rasmi lakini ni muhimu kuzifanyia kazi, kwamba kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa. Mwenye taarifa kamili kuhusu suala hili aweke hadharani.
 
Wana Jf nimepata taarifa ambazo naweza kuziita siyo rasmi lakini ni muhimu kuzifanyia kazi, kwamba kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa. Mwenye taarifa kamili kuhusu suala hili aweke hadharani.

Jamani WATANGANYIKA ni lini TUTAAMKA?
 
kazi kweli wanarudia ambapo chadema imeshindfa tu pengine no........hii hujuma hatutaikubali hata kidogo
 
Back
Top Bottom