Wana Jf nimepata taarifa ambazo naweza kuziita siyo rasmi lakini ni muhimu kuzifanyia kazi, kwamba kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa. Mwenye taarifa kamili kuhusu suala hili aweke hadharani.
Wana Jf nimepata taarifa ambazo naweza kuziita siyo rasmi lakini ni muhimu kuzifanyia kazi, kwamba kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa. Mwenye taarifa kamili kuhusu suala hili aweke hadharani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.