Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,713
- 4,663
Wakuu kwema?
Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.
Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.
Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.
Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.
Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.
Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.
Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.
Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.
Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?