Ni kweli kuna watu wanaroga ili mwenye nyumba asahau kumalizia ujenzi au kuhamia kwenye nyumba yake?

Cute Wife

JF-Expert Member
Nov 17, 2023
1,713
4,663
Wakuu kwema?

Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.

Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.

Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.

Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.

Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
 
Wakuu kwema?

Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.

Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.

Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.

Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.

Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Kwani asironge hiyo nyumba iwe yake kabisa?
 
Wakuu kwema?

Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.

Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.

Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.

Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.

Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
imani potofu za kichawi na kishirikina ni kitu mbaya sana mtu kuamini,

na kwakweli imewachelewesha watu wengi sana kusonga mbele na kumbe ni uvivu wao tu hakuna uchawi wala nini 🐒
 
Viwanja hii dhana haihusiki? Maana nina maeneo kila nikitaka kwenda naahirisha yaani sijisikii tu kwenda na sina sababu. Mbaya zaidi napita kwenda kwingine mbali zaidi. Na leo nimepita 😇😇
Ndio baba angu alikua akiambiwa habari ya shamba lake alilomuweka mjomba wetu anakua mkali alikaa miaka10 hajakanyaga..... huyo mjomba ambae aliomba kuwa mlinzi anaangusha nazi anauza analima na familia yake raha mustarehe mpaka watoto wengine wanazaliwa na kuwa wakubwa hapohapo...mama angu anaambiwa huko yanayosemekana hili shamba sio lenu ni lake huyo mjomba na haliuzwi mpaka apende yeye...mwisho wa siku hakuna marefu yasio na ncha tuliliuza akiwa hata hajahama hapo na uhasama juu
 
Viwanja hii dhana haihusiki? Maana nina maeneo kila nikitaka kwenda naahirisha yaani sijisikii tu kwenda na sina sababu. Mbaya zaidi napita kwenda kwingine mbali zaidi. Na leo nimepita 😇😇
Mpe location mchungaji/shehe afu utuletee ushuhuda Mkuu, ukute kuna shamba la mtu limenawiri huko unataka kuharibu mambo🙊😂😂
 
Back
Top Bottom