Umemaliza kila kitu TeeNowadays binadamu wanasingizia mapepo mabaya yao.but jibu NO.Ni tabia za watu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
I was about to write the very same comment
Vipi yule maria magdalena wa kwenye biblia ?Nowadays binadamu wanasingizia mapepo mabaya yao.but jibu NO.Ni tabia za watu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yetu yatakuwa yanaendanaI was about to write the very same comment
the Legend☆
Kafanyaje? Unaongelea kabla au baada ya ufufuko wa Kristo?
Mkuu vipi yule aliekua anatest mitambo, alifanikiwa kukuroga?Hakuna mapepo.
Kabla hajatolewa mapepo na yesuKafanyaje? Unaongelea kabla au baada ya ufufuko wa Kristo?
the Legend☆
Somo la huyu mtakatifu ni refu theologically. Naomba niishie hapa. Hatupo kwenye jukwaa sahihi la dini
Ni kweli tumuache huyo Mtakatifu.Somo la huyu mtakatifu ni refu theologically. Naomba niishie hapa
the Legend☆
Finally nimepata point yako mkuuNi kweli tumuache huyo Mtakatifu.
Lakini nilichotaka kusema ni kwamba
Kweli wapo wanaofanya umalaya wanawake kwa wanaume sababu wana mapepo machafu.
Na kama wakiombewa kupitia vitabu vya dini wale mapepo wanaondoka na umalaya wanaacha
Sent using Jamii Forums mobile app