Ni kweli kuna makabila yasiyotakiwa kutoa rais wa nchi?

Status
Not open for further replies.
Ni Ibara ya Ngapi hiyo ya Katiba ya Tanzania inayosema hivyo, au ndio ule mwendelezo wa hisia. By the Way Makabila yako 120-130, hii ina maana probability ya kabila moja kutoa rais ni 1/125 (mutually inclusive basis). Mpaka sasa tumeona marais wanne na wote wanatoka makabila tofauti; hizo hisia kwamba kuna baadhi ya makabila hayatakiwi kutoa Rais unapata wapi? Mbona nyie watu mmekuwa na nongwa sana, mnasumbuliwa na nini? Hebu semeni ukweli wenu nini hasa kinachowasumbua. Hatuwaelewi mjue na mnazidi kujichanganya kila uchao?
 
Ni Ibara ya Ngapi hiyo ya Katiba ya Tanzania inayosema hivyo, au ndio ule mwendelezo wa hisia. By the Way Makabila yako 120-130, hii ina maana probability ya kabila moja kutoa rais ni 1/125 (mutually inclusive basis). Mpaka sasa tumeona marais wanne na wote wanatoka makabila tofauti; hizo hisia kwamba kuna baadhi ya makabila hayatakiwi kutoa Rais unapata wapi? Mbona nyie watu mmekuwa na nongwa sana, mnasumbuliwa na nini? Hebu semeni ukweli wenu nini hasa kinachowasumbua. Hatuwaelewi mjue na mnazidi kujichanganya kila uchao?
Nimelipenda bandiko lako.Kama uko genuine,basi sawa tu.Kusema nimepata wapi unanishangaza.Ama hujawahi kusikia kuhusu makabila yasiyotakiwa kutoa rais?
 
Yakusikia changanya na yako na ya mbayuwayu utapata jibu.

Kama Urais kwa Mzee wa gongo, huyo umesikia kweli kabisa, maana baada ya kukosa maadili ya kanisa, kukosa maadili ya mitaani sasa kaanza kubwabwaja gongo. Halafu tumpe Urais huyo?

Kwanza nasikia huyo ana asili ya Kiarabu ya Iraq, eti kweli?
 
Nadhani mtoa uzi amerejea zile semi za kipuuz za Mwl. Nyerere (byintution) aliwahi taja baadhi ya makabila kuwa hawatakiwi kushka nafasi kubwa kama urais. Uwezo wa mtu kuongoza hata siku moja hauhusiani na kabila lake.
 
Yakusikia changanya na yako na ya mbayuwayu utapata jibu.

Kama Urais kwa Mzee wa gongo, huyo umesikia kweli kabisa, maana baada ya kukosa maadili ya kanisa, kukosa maadili ya mitaani sasa kaanza kubwabwaja gongo. Halafu tumpe Urais huyo?

Kwanza nasikia huyo ana asili ya Kiarabu ya Iraq, eti kweli?
Angekuwa mwarabu ungeacha kumpenda?
kuhusu gongo wala si jipya,Mrema alikuja nayo.Hii ni issue ya kiuchumi
 
Nadhani mtoa uzi amerejea zile semi za kipuuz za Mwl. Nyerere (byintution) aliwahi taja baadhi ya makabila kuwa hawatakiwi kushka nafasi kubwa kama urais. Uwezo wa mtu kuongoza hata siku moja hauhusiani na kabila lake.
Mkuu nakubali ni semi za kipuuzi,lakini si issue ya kuupiziwa.

Hujawahi kuwasikia ccm wakienzi hilo wazo?
 
Yakusikia changanya na yako na ya mbayuwayu utapata jibu.

Kama Urais kwa Mzee wa gongo, huyo umesikia kweli kabisa, maana baada ya kukosa maadili ya kanisa, kukosa maadili ya mitaani sasa kaanza kubwabwaja gongo. Halafu tumpe Urais huyo?

Kwanza nasikia huyo ana asili ya Kiarabu ya Iraq, eti kweli?

Umpe urais ukiwa kama nani,subirini nguvu ya uma,mnaongea utafikiri nyie sio Watanzania!
 
Nimelipenda bandiko lako.Kama uko genuine,basi sawa tu.Kusema nimepata wapi unanishangaza.Ama hujawahi kusikia kuhusu makabila yasiyotakiwa kutoa rais?
mkuu hebu yataje basi, na uweke vielelezo ni vipi yanazuiwa kutoa rais, maana inawezeka kweli kikatiba hilo swala halipo kama alivyosema mmoja wa mchangia mada, but labda kunajitihada za makusudi za kuzuia watu wa makabila fulani kugombea uraisi, tafadhali fafanua tupate mwanga kidogo sisi ambao hatujui kinachoendelea
 
I just noted this sorry mimi sipendi ukabila. Ila tu angalizo. Ni vigumu sana ingawa inawezekana kwa makabila makubwa kutoa Rais ... angalia makabila Marais wetu wote walipotoka... automatic Rais wa Bongo atatoka mwenye makabila madogo most of the time not always of course.
 
Yakusikia changanya na yako na ya mbayuwayu utapata jibu.

Kama Urais kwa Mzee wa gongo, huyo umesikia kweli kabisa, maana baada ya kukosa maadili ya kanisa, kukosa maadili ya mitaani sasa kaanza kubwabwaja gongo. Halafu tumpe Urais huyo?

Kwanza nasikia huyo ana asili ya Kiarabu ya Iraq, eti kweli?

Unaongelea maadili?Yale ya kusubiri watu wapike gongo ili polisi-CCM waje wachukue 'ushuru' wao?
Au yale maadili ya kubaka watoto wadogo na kuwaambukiza UKIMWI?

BOGUS KABISA!!
 
I just noted this sorry mimi sipendi ukabila. Ila tu angalizo. Ni vigumu sana ingawa inawezekana kwa makabila makubwa kutoa Rais ... angalia makabila Marais wetu wote walipotoka... automatic Rais wa Bongo atatoka mwenye makabila madogo most of the time not always of course.

Kwa nini unafikiri rais hawezi kutoka kwenye makabila makubwa ya Tanzania?Huoni kwamba huu ndio ukabila tunaoukemea?
 
Nimetembea duniani kwenye nchi za kidemokrasia lakini sijawahi kusikia eti makabila flani hayatakiwi kutoa rais wa nchi.Only in Tanzania!Is it true?And if so,why?Ni kivipi tutazuia?je hilo halituathiri kama Taifa?

Hacha dhana ya kipuuzi wewe! Ina maana ilo kabila lako ndio lenya haki ya kumtoa raisi! Raisi hupatikana kwa sera na wanaamua wanachi sio mtu. Wewe mchaga nini? Wewe ndio unaukabila na mbinafsi.
 
Kuna tetesi kwamba J.K. Nyerere aliwahi sema kwamba "rais asitoke kwenye makabila mojawapo ya haya: Wahaya, Wanyakyusa na Wachaga" ila watoke kwenye vikabila vidogo dogo (sijui kigezo cha udogo kikoje). Wengine wanasema ndio maana CCM siku zote itahakikisha marais wanatoka katika vikabila hivyo.
 
Hizi ni propaganda chafu tu za ccm kwa hofu ya uwezo wa baadhi ya makabila flani. Shame on them.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huu ubaguzi autakaa uishe CCM wakiwa bado wanaongoza nchi.Hao ndio waenezaji wakubwa wa siasa za kibaguzi.

Siwezi kujiunga na Chedema kwasababu mimi sio Mchaga-Katibu mwenezi wa CCM,Nape.

Na mie naungana na Nape kuwa siwezi jiunga kwenye saccos ya baba Lili,saccos ambayo inaongozwa kwa misingi ya ukanda na ukabila+udini.
 
Ibara ipi katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania imezungumzia hayo? Na ni makabira gani yaliyotajwa??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom