Habari za majukumu, poleni na kazi za kulijenga taifa.
Naomba kwa atakayekuwa anafahamu sifa za funguo Malaya atusaidie maana majuzi nyumba ya mjomba kuna wezi walifungua kuanzia getini mpaka vyumba vyote vya ndani bila kuvunja tulibaki mdomo wazi.
Lakini cha kushangaza kuna mdau alisema wametumia funguo hiyo na inasemekana huwa inakuwa moja tu, sasa tupeane elimu kuhusu huo ufunguo na jinsi ya wenye uwezo wa kufungua mlango bila kuvunja.
Karibuni wajuvi
Naomba kwa atakayekuwa anafahamu sifa za funguo Malaya atusaidie maana majuzi nyumba ya mjomba kuna wezi walifungua kuanzia getini mpaka vyumba vyote vya ndani bila kuvunja tulibaki mdomo wazi.
Lakini cha kushangaza kuna mdau alisema wametumia funguo hiyo na inasemekana huwa inakuwa moja tu, sasa tupeane elimu kuhusu huo ufunguo na jinsi ya wenye uwezo wa kufungua mlango bila kuvunja.
Karibuni wajuvi