Kwa hiyo mnazifanya kwa sababu salio lipo?
namdeki mpk uvunguni😄😄😄😪😏Kupika na kudeki inasemekana ni kazi za mwanaume
Hiyo sheria ibadilishwe imepitwa na wakati, ingawa sidhani kama ilishawai kutekelezwaAnapotosha tu ..mume anapaswa kuitunza familia kwa kuipatia chakula..mavazi na sehemu ya kuishi/accommodation.
Hakika imepitwa na wakati ni ya mwaka 1971 ..mila na desturi za kipindi hicho ..Mke alikuwa ni mama wa nyumbani zaidi ..wengi hawakuwa wanajitafutia vipato binafsi ...Hiyo sheria ibadilishwe imepitwa na wakati, ingawa sidhani kama ilishawai kutekelezwa