Ni Kweli Jumanne ni Siku ya "Nuksi"?

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,141
13,215
Imekuwa ikiniathiri sana siku ya Jumanne kutokana na ukweli kwamba imekuwa siku ya bahabti mbaya kwangu haswa matukio mengi makubwa kunikuta siku ya Jumanne likiwemo la hivi karibuni

Jana nimestushwa sana baada ya kijana niliyemsaidia kuandika CV aliponiambia kwamba amepata lazi lakn ameambiwa asianze leo jumaan hadi kesho kwani si siku nzuri

Nilianzisha mjada palepale na kwa kuwa niko uswahilini nilipata majibu yaliyoungwa mkono sana kwa visa mkasa

Kuna ukweli wowote?
 
Imekuwa ikiniathiri sana siku ya Jumanne kutokana na ukweli kwamba imekuwa siku ya bahabti mbaya kwangu haswa matukio mengi makubwa kunikuta siku ya Jumanne likiwemo la hivi karibuni

Jana nimestushwa sana baada ya kijana niliyemsaidia kuandika CV aliponiambia kwamba amepata lazi lakn ameambiwa asianze leo jumaan hadi kesho kwani si siku nzuri

Nilianzisha mjada palepale na kwa kuwa niko uswahilini nilipata majibu yaliyoungwa mkono sana kwa visa mkasa

Kuna ukweli wowote?

Ukipepeta Pumba Tunachagua Chuya
 
mengi ya majibu yanayokuja ni kwamba hata kusafiri ni nuksi Jumanne
 
Imekuwa ikiniathiri sana siku ya Jumanne kutokana na ukweli kwamba imekuwa siku ya bahabti mbaya kwangu haswa matukio mengi makubwa kunikuta siku ya Jumanne likiwemo la hivi karibuni

Jana nimestushwa sana baada ya kijana niliyemsaidia kuandika CV aliponiambia kwamba amepata lazi lakn ameambiwa asianze leo jumaan hadi kesho kwani si siku nzuri

Nilianzisha mjada palepale na kwa kuwa niko uswahilini nilipata majibu yaliyoungwa mkono sana kwa visa mkasa

Kuna ukweli wowote?

Amepata lazi.rekepisha kwanza sentensi yako hapo juu
 
Labda niweke hivi.....

Siku ya jumanne ni kama siku nyingine katika hali ya kawaida ispokuwa kwa wanaofanya mambo ya kishirikina huwa wanazitumia sana siku za jumanne na jumamosi katika kufanya mambo yao kwani kwa itikadi zao ndio siku ambazo ni nzuri katika kufanya mambo yao yafanikiwe.

Kwa mantiki hiyo ndio maana hata wazee wengi ukitaka ushauri kama kuna uwezekano wa kutokufanya mambo yako (hasa kama unaanza jambo jipya) wanakushauri usifanye katika siku hizo.

Kinachotokea sometime intaokea coincidence mtu kila habari mbaya kwake zinaangukia aidha jumanne au jumamosi ndio anaitakidi hivyo.
 
Kwa nusu ya muda nilioutumia kwa masomo ya shule ya msingi niligundua jumanne napata viboko vingi kuliko siku nyingine ya wiki, nikawa sihudhurii shule siku hiyo kwa kipindi chote cha shule msingi na upili.
 
Imekuwa ikiniathiri sana siku ya Jumanne kutokana na ukweli kwamba imekuwa siku ya bahabti mbaya kwangu haswa matukio mengi makubwa kunikuta siku ya Jumanne likiwemo la hivi karibuni

Jana nimestushwa sana baada ya kijana niliyemsaidia kuandika CV aliponiambia kwamba amepata lazi lakn ameambiwa asianze leo jumaan hadi kesho kwani si siku nzuri

Nilianzisha mjada palepale na kwa kuwa niko uswahilini nilipata majibu yaliyoungwa mkono sana kwa visa mkasa

Kuna ukweli wowote?

Nuksi zipo IJUMAA. Ijumaa ni siku ya nuksi sana,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom