Wadau naombeni kuuliza kama kuna mtu yeyote aliyeomba bodi kupitia equivalent na jina lake limetolewa kua amepata au amekosa make mwenzenu jina langu halionekani kotekote.
Sijui kama ntapata au ndo nimeshakosa.Cha ajabu zaidi hadi chuo nilichoomba hawajatoa majina had sasa,matumaini na ndoto yangu inazidi kufifia!.Nisaidie mwenzenu!
Sijui kama ntapata au ndo nimeshakosa.Cha ajabu zaidi hadi chuo nilichoomba hawajatoa majina had sasa,matumaini na ndoto yangu inazidi kufifia!.Nisaidie mwenzenu!