Ni kweli Hazina hakuna Pesa?

Loi

Member
Oct 4, 2007
6
0
Waungwana naomba kuuliza , Je ni kweli hazina hakuna pesa?kama ni kweli nahisi ni huu upana wa Barza la Muungwana na safari zisizo na kikomo na maandamano ya utitiri wa watu kwenye hiyo misafara yake ya kwenda kuuza nchi.Naomba kuwasilisha na kuuliza.
 
kuna tetesi hazina hamna kitu,muungwana na baraza lake la mpasuko,washakomba kila kitu.
 
Waungwana naomba kuuliza , Je ni kweli hazina hakuna pesa?kama ni kweli nahisi ni huu upana wa Barza la Muungwana na safari zisizo na kikomo na maandamano ya utitiri wa watu kwenye hiyo misafara yake ya kwenda kuuza nchi.Naomba kuwasilisha na kuuliza.

Mzee unabidi kujue kwanza basic accouting, swali lako liko too casual, serikali ina budget, lakini pia ina matumizi, sasa ikitokea ukahitajika kulipa zaidi ya makusanyo kwenye mwezi fulani haimaanishi kwamba hazina hamna hela na hivyo serikali imeshindwa... Hata hivyo serikali ina namna ya kukopa hela kupitia benki kuu kulipia maeneo ambayo yamehitaji hela nyingi...

In short inabidi uelewe kwanza maana ya "cash flow", ndio uulize maswali kama haya.

NB:
1. Serikali inakusanya hela nyingi sana siku hizi so hakuna shida kama unavyotaka kutuambia...
2. Sio kila kitu kinafanywa na Rais, you need to be specific, wizara ya fedha ndio inafanya hizo kazi, na taasisi zinazofanya hivyo ni kama kwa Accountant General....
 
Tuache Uchuro Wazalendo,nji Hii Ni Yetu Na Viongozi Ni Wetu Wanainji.

Mwacheni Jk Achape Kazi Kwa Uhuru Na Amani Toka Kwetu Sisi Wananchi.
 
That is not a problem, they can always print more money. That is the way to go in third world, you cant run short of money while you have money machine. To hell with inflation and all crap from western world, just print couple of 10,000s and 5,000s.
 
That is not a problem, they can always print more money. That is the way to go in third world, you cant run short of money while you have money machine. To hell with inflation and all crap from western world, just print couple of 10,000s and 5,000s.

Although they can print money as you said, but since they do not have problem! they will not and i don't think they intend to do so.

Let discuss another topic, hii haina maana yoyote!!!
 
Re: Ni kweli Hazina hakuna Pesa?

--------------------------------------------------------------------------------

Quote: Loi
Waungwana naomba kuuliza , Je ni kweli hazina hakuna pesa?kama ni kweli nahisi ni huu upana wa Barza la Muungwana na safari zisizo na kikomo na maandamano ya utitiri wa watu kwenye hiyo misafara yake ya kwenda kuuza nchi.Naomba kuwasilisha na kuuliza.

Mzee unabidi kujue kwanza basic accouting, swali lako liko too casual, serikali ina budget, lakini pia ina matumizi, sasa ikitokea ukahitajika kulipa zaidi ya makusanyo kwenye mwezi fulani haimaanishi kwamba hazina hamna hela na hivyo serikali imeshindwa... Hata hivyo serikali ina namna ya kukopa hela kupitia benki kuu kulipia maeneo ambayo yamehitaji hela nyingi...

In short inabidi uelewe kwanza maana ya "cash flow", ndio uulize maswali kama haya.

NB:
1. Serikali inakusanya hela nyingi sana siku hizi so hakuna shida kama unavyotaka kutuambia...
2. Sio kila kitu kinafanywa na Rais, you need to be specific, wizara ya fedha ndio inafanya hizo kazi, na taasisi zinazofanya hivyo ni kama kwa Accountant General....

Kilitime,
Unayosema ni sahihi, ila nisaidie kitu kimoja. Hivi wakati serikali ilipoomba "suplementary budget" ilikumbwa na nini? Hasa baada ya fungu la safari za viongozi kuwa zilikua zinahitajika ziada ya Sh bilioni 23 kabla hata ya mwisho wa kipindi cha bajeti kwisha?
 
Kilitime,
Unayosema ni sahihi, ila nisaidie kitu kimoja. Hivi wakati serikali ilipoomba "suplementary budget" ilikumbwa na nini? Hasa baada ya fungu la safari za viongozi kuwa zilikua zinahitajika ziada ya Sh bilioni 23 kabla hata ya mwisho wa kipindi cha bajeti kwisha?


Suplementary Budget ina maana mbili kulingana na uwezo wangu!

1. Serikali inahitaji kutumia matumizi zaidi ya yale yaliyopitishwa na bunge na serikali inaona kabisa kwamba matumizi hayo hayawezi kupatikana kutoka kwenye mafungu mengine ya budget.

2. Misaada kama ya MCC haikuwa kwenye budget sasa baada ya serikali kukubaliwa, inahitaji suplementary budget ili zile hela ziingie kwenye current budget!


Kwa hiyo, suplementary budget inaweza kuja kwa deficit, au surplus lakini mnadhani hata hiyo surplus serikali inadhani ingeitumia kwenye current budget, badala ya kusubiri budget zinazofuata.

Ni wrong serikali kutumia mapato ya ziada ati tu kwa sababu ni fedha yao...


Sasa issue ya hazina haina hela... ni disortation of mambo ya serikali.
 
..ukisema hazina hamna fedha,una maanisha zipi?lazima u-come straight hapo!

..hela zipo si ndio maana hatujasikia wafanyakazi wa serikali wamekosa mshahara!

..au wadeni wa serikali[locals]hawajalipwa?

..ila kuna nakisi ya bilioni 300 na upuuzi kwenye bajeti!matumizi makubwa!kilitime any dataz?
 
Jamani sikilizeni natoa mfano Mmoja ili muone siajabu hazina kuwe hakuna fetha.Waziri wa maliasili na utalii aliongeza bei za uwindaji wa kitalii na kuzidisha mapato kwa billioni 33.6. Fetha hizo zilitakiwa kukusanywa by SEPT 30,2007.Lakini mpaka leo Mkurugenzi Wa Wanyamapori hakukusanya kwa sababu wawindaji wakubwa ni Marafiki Zake na wanamwezesha na anafuta wanayotaka kina Pasanisi na wazungu wengine,Bunge lilipiga sana kelele kuhusu Mkurugenzi,Waziri Diallo.Huu ni uzembe kwani tamko la waziri lilikua wazi kama miliki yoyote hawezi kulipa bei mpya serekali ichukue kitalu chake,MKURUGENZI HUYO HAWEZI KUTEKELEZA KWA SABABU HAWA WENYE VITALU WANA SIRI ZAKE NYINGI HATIMAYE SEREKALI SI AJABU KUKOSA HELA>
 
..ila kuna nakisi ya bilioni 300 na upuuzi kwenye bajeti!matumizi makubwa!kilitime any dataz?

DAR si LAMU,

Mimi sina la zaidi, zaidi ya kusema deficit in certain month during implementation of budget is a real normal thing, na nimekisikia kwa miaka mingi sana tu, na hakikuwa na tatizo lolote!

Nakisi hii ikiwa mwezi wa 6, mwisho wa mwaka wa fedha unaweza kuifikiria tofauti, lakini nakisi ya mwezi October, miezi minne tu kutoka kusomwa bajeti ni kitu cha kawaida kabisa...

Sijui labda naota mchana lakini huo ndio uelewa wangu.
 
Kwanza napata shida kidogo, mtu anaposema Serikali/hazina hakuna fedha sijui mtoa hii mada kapata wapi hiyo taarifa Tupe Vielelezo vya speculation yako.

In short serikali ikisema haina hela haina maana kuna 0 balance kwenye govt account, bali haina hela ya kufanya kitu ambacho hakipo kwenye budget yake ya mwaka. Ama kama hicho kitu kipo kwenye budget ila hakikuwepo kwenye mpango kazi wa quarter hiyo, so jibu rahisi ni hakuna hela, vonginivyo wafanye mini budge review
 
tunaposema serikali haina pesa tunamaana kuwa matumizi ya serikali yamekuwa makubwa kulinganishwa na kipato chake,kumbuka hapa tunategemea 40% ya wafadhili na wao kama hawajatoa ndio kilio kikubwa.
 
punguzeni siasa ktk masuala ya uchumi. nimejitahidi kusoma michango mingi humu naona tunashawishiwa kuwa shida tuiite slightly error lakini shida ipo pale pale. kama serikali inatumia zaidi ya pato lake au zaidi ya ilichopangiwa ni lazma tupige kelele tuelezwe kulikoni overbudget? na kitu kingine ni kuwa, kama bajeti inapitishwa na bunge kisha serikali inakandamiza mifweza yoote kwa kipindi kifupi ili ipitishwe bajeti ya dharura, hapo naona kiinimacho.
Nawasifu mnaoitetea serikali ingawa hamuitendei haki kwani haitajirekebisha.
 
40% inategemea wafadhiri na SUVs za mafisadi kila kona ya nchi kuanchia mtwara mpaka Bukoba bado mnasema serikali ina pesa.
 
In short serikali ikisema haina hela haina maana kuna 0 balance kwenye govt account, bali haina hela ya kufanya kitu ambacho hakipo kwenye budget yake ya mwaka. Ama kama hicho kitu kipo kwenye budget ila hakikuwepo kwenye mpango kazi wa quarter hiyo, so jibu rahisi ni hakuna hela, vonginivyo wafanye mini budge review

It makes a lot of sense, ahsante mkuu Bowwow, darasa zito sana hili, keep it up!
 
Waungwana, kilichotokea katika idara mojawapo ya serikali ambayo hakika kwenye bajeti yake imeingiziwa mipesa mingi na kwa kuwa haijali watumishi wake, kuna baadhi ya watumishi waliomba kwenda kusoma lakini wakapewa jibu kwamba hela hakuna wakati kwenye bajeti ilikuwepo!!Ila safari za kwenda Ulaya kwa viongozi wetu ndo haziishi.Haya ninayoyasema ni ya Ukweli 100% sababu nami nimo humo!!Kuna mengi yanaendelea tatizo twaogopa identity zetu ama ip iddress kujulikana.Ila yapo mengi na mazito na naona thread nyingine zimefutwa humu sielewi kwa kigezo gani

Tunamtumikia kafiri ili tupate Ugali
Maisha Bora Si kwa kila Mtanzania ila kwa wenye Meno na visu vikali
 
Ni Kweli Hali Ni Mbaya ..serikali Ime Overspend ...hadi Kuisha Kwa Qouter Ya Kwanza Ya Bajeti ..tayari Serikali Imekopa Kutoka Mabenki[sumu Ambayo Kwenye Awamu Ya Tatu Tulishaondokana Nayo] Wamekopa Tsh 312 Billions..ili Ku Finance Budget Just For Three Months...na Hakuna Kinachoonekana..na Hiyo Ni Mbali Ya Tsh 300 Billion Per Month Wanazokusanya Tra...na Kupeleka Hazina...na Hizo Ni Mbali Ya Pesa Za Hipc[highly Idebited Poor Countries]..na Zile Pesa Za "bush Plan For Africa"....sijui Mapesa Yoote Yanaingia Kwenye Fuko Gani Lililotoboka...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom