Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,105
- 15,585
Yule hata muonekano wake anaonekana sio msafiKilichonisikitisha n uchafu tyuuh wa pale ktk nyumba. Mmmmh.
Yule hata muonekano wake anaonekana sio msafiKilichonisikitisha n uchafu tyuuh wa pale ktk nyumba. Mmmmh.
vitu vingne vilivyokutwa kule lol, ila wale watu khaaaah.Yule hata muonekano wake anaonekana sio msafi
Vilainishi vilivyotumika?vitu vingne vilivyokutwa kule lol, ila wale watu khaaaah.
Kila mtu anaongea lakeWanasema mzungu ndo alikuwa anflash uchafu wa jamaa ptuuu
babuuuh una nn wee lakini khaaahVilainishi vilivyotumika?
Em we na mjomba ako mtudadavulie milioni150 inavyosemekana ankoli wako ndo anadai,kodi ya nyumba ilikuwa sh ngapi na hakulipa kodi kwa mda gani kufikia deni hilo?Wakuu lem declare interest Kwamba mimi ni sehemu ya Eng. Usiri ambae Alikuwa ni Land Lord Wa Msanii Harmonize.
Msanii Hrmonize ni Kweli anadaiwa Kodi na Mjomba Yangu Wangu Eng. Usiri na Aliondoka Pale Mbezi Usiku Bila Kuaga na Mpaka Sasa Ajakabidhi Nyumba Ya Eng. Usiri.
Hata Wakili wake Amekuwa Hataki Kupokea any documents Ambayo inayohusiana na Rent dispute ya Mteja wake.View attachment 1940747
Hujadanganya kuna mwaka nilipangishaga wachezaji wa Simba na walikuwa wanalipiwa na club yao nilikoma,nikajichanganya tena kwa wajeda nilijuta hahahahaha!Ukiwapangisha wasanii wa kibongo nyumba yako,hesabu maumivu
Maana ni kero
Ova
babuuuh una nn wee lakini khaaah
tena itakua ndo mambo yake, nina wac wac na bibi yangu uwiiiih.
Kilainishi kimemkumbusha ujana.
Vilainishi vilivyotumika?
🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸babuuuh una nn wee lakini khaaah