Paul Mabuga unachakachua maswali yetu. Unavyoyasoma hayaeleweki, hayawezi kujibiwa, last time Yahya alikuwa anayasoma kama yalivyo na tukapata majibu yake.
HR anasema kwamba kikao kilichomfukuza hakikuwa halali kwa sababu kulikua na zuio (Injunction) ni kwanini alikwenda kujitetea ilihali akijua ni batili ab initio?
Tatizo watu humu ndani wanajidai wanajua kila kitu! Ni bora ukauliza kama hujaelewa heading kuliko kuanza kuropoka!Journalism is so broad inawezekana unafahamu kijieneo tu Mkuu take time usome vema , Tazama Kipindi... ya TBC wapelekee TBC hatuwezi kuwasemea