Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,489
- 86,005
Sijatuhumu Bali nimeuliza! Inawezekanaje hakuna hata mwana-CCM mmoja aliyekosea kujaza form na hakuna hata mpinzani mmoja "aliyeweza kujaza form vizuri"??
Kwa mazingira ya kawaida, wangeweza kuweka hata wagombea wa upinzani ili " kuhalalisha" wizi wao. Sasa walichofanya wao ni uporaji! Like, who will question? Yaani wanadhani uchaguzi utaishia bongo tu!
Hata binti yangu Namkunda ameshindwa kuelewa kimetokea nini! Hebu ajitokeze mwana CCM mwenye akili kidogo awakumbushe kuwa huu ni ujinga Na sio figisu za uchaguzi kama alivyozihalalisha Jafo.
Kwa mazingira ya kawaida, wangeweza kuweka hata wagombea wa upinzani ili " kuhalalisha" wizi wao. Sasa walichofanya wao ni uporaji! Like, who will question? Yaani wanadhani uchaguzi utaishia bongo tu!
Hata binti yangu Namkunda ameshindwa kuelewa kimetokea nini! Hebu ajitokeze mwana CCM mwenye akili kidogo awakumbushe kuwa huu ni ujinga Na sio figisu za uchaguzi kama alivyozihalalisha Jafo.