Doswe Dossena
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 314
- 552
Habari..!!?.
Ni hivi..
Inasemwa ya kwamba dawa za uzazi wa mpango za kizungu zina madhara makubwa kwa watumiaji.
Je kuna ukweli wowote katika hili??
Wanajavi tupeane elimu juu ya hili tafadhali..
Ni hivi..
Inasemwa ya kwamba dawa za uzazi wa mpango za kizungu zina madhara makubwa kwa watumiaji.
Je kuna ukweli wowote katika hili??
Wanajavi tupeane elimu juu ya hili tafadhali..