jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Leo umetukamata sikukuu ya wajinga.😆🤦🏾♂️Naunga mkono hoja
P
Leo umetukamata sikukuu ya wajinga.😆🤦🏾♂️Naunga mkono hoja
P
Ni kweli tangu nijitambue hapa Duniani kwa kuwa na ufahamu sijawahi kuona hofu kama hii inapamba moto Duniani, inaitisha DUNIA kiasi hiki kweli hofu imetawala lakini lazima tuishinde
Nawaombeni vijana wa kitanzania huu si wakati wa kuimba nyimbo za vyama, dini, hadhi au kabila huyu mdudu ni adui yetu hana utani, amedhamiria kutumaliza tusikubali lazima tupambane kumshinda lazima tushinde kwa kuchukua tahadhari
Kila mmoja wetu awe mwanamabadiliko tuwahimize wasioelewa waelewe umuhimu wa kufuata kanuni na Taratibu za afya
Viobgozi wa Dini huu ndio mda wa kuwahubiri waumini wenu njia za kuchukua hatari tusikubali huyu mdudu atuangamize anatisha
Huyu ni ibilisi mtoa roho amekuja kwa mtindo wa Virus tupambaneni kumuondosha
Tuunganeni na Rais wetu kutii sheria kanuni na matumizi ya njia za kitaalamu
Watanzania wenzangu nawaombeni kila mmoja achukue tahadhari Vita bado ni kubwa tupambaneni tena bila kuchoka adui ana nguvu za kutisha tuunganeni kumuangamiza