Ni kweli ccm ilivunja katiba?

rugumye

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
561
178
Wanajamii ni kweli CCM ilitakiwa kufutwa kwa mujibu wa katika ya jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya Ibara ya 20-(2) Bila kujali masharti ya ibara ndogo ya (1), haitakuwa halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake;-
a) Kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya;-

i. Imani au kundi lolote la dini.

Na 19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri yaMuungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya kazi za serikali.
 
Wanajamii ni kweli CCM ilitakiwa kufutwa kwa mujibu wa katika ya jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya Ibara ya 20-(2) Bila kujali masharti ya ibara ndogo ya (1), haitakuwa halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake;-
a) Kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya;-

i. Imani au kundi lolote la dini.

Na 19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri yaMuungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya kazi za serikali.


hapo ndiyo kisiki cha mahakama ya kadhi?
 
wanasheria tupeni mawazo yenu kwa mjibu wa taaruma zenu pia.
 
Tatizo lililopo Tanzania Wasomi hawatumii elimu zao katika kazi...Sasa ni wajibu wa wana sheria hapa kukaa na kutusaidia katika mambo muhimu kama haya
 
Wanajamii ni kweli CCM ilitakiwa kufutwa kwa mujibu wa katika ya jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya Ibara ya 20-(2) Bila kujali masharti ya ibara ndogo ya (1), haitakuwa halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake;-
a) Kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya;-

i. Imani au kundi lolote la dini.

Na 19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri yaMuungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya kazi za serikali.
Malaria sugu, Mahmud, Dar na wengine................ mchango wenu wa kimahakama ya kadhi tafadhari juu ya hoja hiyo hapo juu. HIVI BILAL HAJAVUNJA KATIBA KUSEMA SERIKALI ITACHUGHURIKA NA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KDHI...?? Maana hiyo ni shughuri ya kidini na katiba yetu inakataza serikali kujishughurisha na mambo ya kidini
 
MS hana MAHABA ya kuweza kulijadili jambo hilo na hasa kipengele cha cha katiba kuhusu secularism na non sectorialism iliyopo Tanzania
 
Wanajamii ni kweli CCM ilitakiwa kufutwa kwa mujibu wa katika ya jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya Ibara ya 20-(2) Bila kujali masharti ya ibara ndogo ya (1), haitakuwa halali kwa chombo chochote cha siasa kuandikishwa ambacho kutokana na katiba au sera yake;-
a) Kinakusudia kukuza au kupigania maslahi ya;-

i. Imani au kundi lolote la dini.

Na 19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri yaMuungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya kazi za serikali.

Mahakama ya Kadhi haiwezi kuanzishwa bila ya kubadili katiba iliyopo na Itasomeka hivi '.... Na.19.(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa shughuli za kiislamu peke yake zitakuwa ndani ya kazi za serikali isipokuwa dini zinginezo na jumuia zake ndogondogo nje na uislamu zitakuwa nje ya kazi za serikali'
 
Kumbe Msingi wa mgawanyiko wa udini Tanzania ulijengwa kwenye ilani ya CCM mwaka 2005, basi chairman wa CCM asitafute mchawi wa chanzo cha mgawanyiko wa udini Tanzania. sijui km nipo sahihi wana jamii nisaidieni.:embarrassed:
 
Back
Top Bottom