Ugm bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,150
- 5,659
Yaan Mungu anapanga mauwaji? Jamn mtamsingizia Mungu mpka lini?Yote Mungu ndio mpangaji...
Hiyo migogoro ilkuwa njama za wahuni wachache kwa faida zao na ndio hawa hawa wahuni wanaofaidika na migogoro ya kongo, Mungu hawezi husika ktk mateso ya watu jmn labda kama mnamuongelea huyo mungu wenu ambaye yuko limited mnaemuomba anashindwa kujibu, mungu ambaye anawaza nadharia za kipuuzi