Ni kweli bilioni 10 zimejenga flat 20? Au tuna woga kuhoji gharama halisi?

Ukiacha majungu tutakuja kuku jibu. Hasa katika hayo majengo wewe ulichojifunza ni umuhimu wake au. What's your really Problem. Zungumza Hapa Kama mtu mwenye Utashi tofauti na mbwa. Ambaye yupo tu.
Utaburuzwa sana. Kama kila rangi wewe kwako ni njano basi pole sana
 
Utaburuzwa sana. Kama kila rangi wewe kwako ni njano basi pole sana

Hizo flats inawezekana zikawa na bei mara tatu ya zilivyoainishwa,ila wanaogopa kutumbuliwa.Ukweli huo unatabia ya kufunuka siku moja utafunuka tu na tutajua mbichi na mbivu
 
Kaka unastahili upewe Shahada ya heshima kwa comment hii tu. Kama hawajakuelewa, hawatakuelewa tena. Nikujibu tu swali lako, nchi hii ni ya kijamaa maana Katiba inatambua hilo. Viongozi walikuwa hawatekelezi hilo. Sasa JPM anatukumbusha sisi ni nchi ya aina gani na anawekeza kwenye vitu vyenye tija.

Ni kweli ni nchi ya ujamaa hata pia katiba ya CCM inawaambia hivyo wanachama wao. Mimi binafsi naamin katika ujamaa asilimia nyingi sana, Japo ubepari ni ngumu kuukwepa. Kuhusu maswala ya ujenzi kungekua na kampuni moja kubwa ya Ujenzi ya taifa ili project zote kubwa zijengwe na sisi wenyewe. Kampuni kutoka nje ziwe ni kwa ajili ya miradi mikubwa sana ambayo hatuna uzoefu nayo, na zikija zifanye kazi mara moja na kamwe kazi ya namna hiyo isirudiwe tena kufanywa na kampuni na kampuni kutoka nje. Wao wakija tujifunze kutoka kwao. Ni aibu kubwa sana baada ya miaka zaidi ya 50 ya uhuru lakini bado eti barabara na maghorofa yanajengwa na wachina. Inauma sana unakuta ma-engineer wanapigika lakin mchina kapanda ndege kutoka kwao anakuja eti kujenga barabara Tanzania. Tuombe Mungu tupate Kiongozi mkuu wa nchi mzuri, kila kitu kitanyooka. Tanzania sio ya kuwa hivi ilivyo sasa.
 
Ni kweli ni nchi ya ujamaa hata pia katiba ya CCM inawaambia hivyo wanachama wao. Mimi binafsi naamin katika ujamaa asilimia nyingi sana, Japo ubepari ni ngumu kuukwepa. Kuhusu maswala ya ujenzi kungekua na kampuni moja kubwa ya Ujenzi ya taifa ili project zote kubwa zijengwe na sisi wenyewe. Kampuni kutoka nje ziwe ni kwa ajili ya miradi mikubwa sana ambayo hatuna uzoefu nayo, na zikija zifanye kazi mara moja na kamwe kazi ya namna hiyo isirudiwe tena kufanywa na kampuni na kampuni kutoka nje. Wao wakija tujifunze kutoka kwao. Ni aibu kubwa sana baada ya miaka zaidi ya 50 ya uhuru lakini bado eti barabara na maghorofa yanajengwa na wachina. Inauma sana unakuta ma-engineer wanapigika lakin mchina kapanda ndege kutoka kwao anakuja eti kujenga barabara Tanzania. Tuombe Mungu tupate Kiongozi mkuu wa nchi mzuri, kila kitu kitanyooka. Tanzania sio ya kuwa hivi ilivyo sasa.
Aisee hicho kitu kinauma sana. Nashangaa sana. Ilibidi TANROADS waweke vipengele vya kuwalazimisha foreign contractors kushirikiana na local contractors kwenye ujenzi wa barabara kubwa na kuwepo na mikakati madhubuti kabisa ya kuhakikisha local contractors wanajifunza kutoka kwa washirika wao. Tanzania yetu sote. Point yako ya shirika la kujenga miundombinu hasa ya umma ni nzuri sana, nadhani TBA ndo taasisi husika. Hawa majamaa wangejenga apartments nyingi katika sehemu strategic kama Kino, Sinza, Magomeni, Masaki, Oysterbay na downtown, wangesaidia sana kuleta unafuu kwa wafanyakazi maana hali ilivyo sasa, tunalipishwa bei za ajabu sana na hawa landlords mtaani. Mchechu namsifu kwa kufufua shirika ila aliegemea zaidi kutengeneza faida hivyo matokeo yake hakujali wenye kipato cha kati kweli kweli. Nyumba za milioni 120 na kuendelea, wangapi wanaweza nunua? hata kama wakinunua, je ni thamani yake kweli? Mbaya zaidi hawakuwekeza kwenye nyumba za kupanga kwa young professionals, bachelors au wale wenye small families. Yaani focus ipo kwenye 2-3 bedroom apartments ikiwa na high-end finishing na furniture ndani, who needs all that? Bachelor anahitaji one bedroom yake safi, simple finishing na minimum cost. Yaani uzembe serikali ya awamu iliyopita ya kushindwa kusimamia real estate ilileta mzigo mkubwa sana kwa watanzania. Mzigo ambao hadi sasa tunaubeba. Natumai Mheshimiwa Raisi atasikia kilio hiki na kuweka sera ya kujenga nyumba za bei nafuu za kupanga na kuuza. TBA anajenga, NHC anasimamia tu maana kama nafasi NHC alishapewa na alishaonyesha yeye bei yake ni ya kichaa.
 
Tunafurahia kupata hostel mpya za kulala wanafunzi pale Udsm. Ni sawa. Tumefahamishwa kuwa kuna flat 20 zenye floor 4 kila moja.

Mimi sio mtaalamu wa majengo. Lakini wataalamu wa majengo wanaweza kweli kututhibitishia kuwa hizi bilioni kumi ndio halisia? Ukiangalia kwa ukaribu unapata shaka. Naamini kuna hela imezidi Ila kwa vile mkuu alishatamka hicho kiasi basi TBA wamelazimika kuendelea kukariri bilioni kumi.

Jé wasimamizi wa mradi huo walikuwa hawalipwi? Bodi ya ukadiriaji majenzi ina standard zake katika kujenga Jengo lolote. Nina amini ipo siku tutapata uhalisia wa gharama hizo.

Kuna athari kubwa ya kutokuwa wakweli katika mradi huo. Athari yake ni kuwa kila jengo litakalojengwa nchini kama litapita gharama hizo basi wataambiwa wameweka chá juu. Tuliona hili kule Simiyu. Rais alikataa Jengo lenye kukadiriwa hela nyingi. Akatoa mfano wa bilioni kumi katika mradi huu wa mabweni ya udsm. Wataalamu watakuwa na woga kuleta gharama halisi zá majengo kwa hofu ya kuambiwa wameweka chá juu.

Tunahitaji kupata majengo haya kwa gharama nafuu lakini isiwe chini ya nafuu. Natoa wito wakadiriaji majenzi waje hapa kutupa standard zao zikoje kwa majengo kama haya. Wasiogope kusema ukweli.

Flat 20 ina maana kila flat iligharimu shilingi milioni 500. Jé flat moja lenye floor 4 gharama yake ni milioni 500? Na hapo hapo wakajenga na uzio. Sitaki kufurahia tu kupata majengo haya lakini lazima gharama halisi zionekane.
Lete gharama zako badala ya kulia lia kama mtoto mdogo,huweleweki kama hutaki hostel zijengwe kwa kiasi kidogo au huamini kama hostel zinaweza kwa kiasi kidogo namana hiyo.
Ukishazoea vya kunyonga,vya kuchinja lazima iwe tabu
 
Tunafurahia kupata hostel mpya za kulala wanafunzi pale Udsm. Ni sawa. Tumefahamishwa kuwa kuna flat 20 zenye floor 4 kila moja.

Mimi sio mtaalamu wa majengo. Lakini wataalamu wa majengo wanaweza kweli kututhibitishia kuwa hizi bilioni kumi ndio halisia? Ukiangalia kwa ukaribu unapata shaka. Naamini kuna hela imezidi Ila kwa vile mkuu alishatamka hicho kiasi basi TBA wamelazimika kuendelea kukariri bilioni kumi.

Jé wasimamizi wa mradi huo walikuwa hawalipwi? Bodi ya ukadiriaji majenzi ina standard zake katika kujenga Jengo lolote. Nina amini ipo siku tutapata uhalisia wa gharama hizo.

Kuna athari kubwa ya kutokuwa wakweli katika mradi huo. Athari yake ni kuwa kila jengo litakalojengwa nchini kama litapita gharama hizo basi wataambiwa wameweka chá juu. Tuliona hili kule Simiyu. Rais alikataa Jengo lenye kukadiriwa hela nyingi. Akatoa mfano wa bilioni kumi katika mradi huu wa mabweni ya udsm. Wataalamu watakuwa na woga kuleta gharama halisi zá majengo kwa hofu ya kuambiwa wameweka chá juu.

Tunahitaji kupata majengo haya kwa gharama nafuu lakini isiwe chini ya nafuu. Natoa wito wakadiriaji majenzi waje hapa kutupa standard zao zikoje kwa majengo kama haya. Wasiogope kusema ukweli.

Flat 20 ina maana kila flat iligharimu shilingi milioni 500. Jé flat moja lenye floor 4 gharama yake ni milioni 500? Na hapo hapo wakajenga na uzio. Sitaki kufurahia tu kupata majengo haya lakini lazima gharama halisi zionekane.
Subiri CAG atatoa kweli mwaka kesho
 
Mkuu kuna haja ya CAG kupita kwenye hayo mahesabu na yale ya ununuzi wa ndege za zaidi ya trillion moja. Ni lazima ataibuka na madudu ya kutisha ya kutuacha Watanzania midomo wazi.
CAG aibukee kwa ruhusa yanani? Hata akiibuka akakuta madudu atathubutu kusemea wap? Skuhizi nikufunika kombee sijui nani apite) usimtaftie matatizo cag wawatu
 
Aisee hicho kitu kinauma sana. .
Umeongea tena cha maana, hata vi studio studio bro, room moja kubwa ikijitosheleza kila kitu humo, pa kakiti, choo, kajiko na pakulala, sio lazima target yako kila wakati iwe wenye familia, sasa hawa wa studio wakipata family watahamia zile kubwa, and the cycle continues...
Kuna jamaa mmoja nilitaja bei za mikopo humu, hasa za benki na NHC, ktk mahesabu yangu kwa kweli yalikaribia (mark-up 2.55)! That is too high kwa wale vijana wetu wa vyuo n.k.! Ila yeye alibisha kabisa na kudiriki kusema huwa nakopa kwa ma (Loan Sharks)! Wakati kiukweli wao hawapiga jumla ya hesabu yote ya deni siku ukidaiwa, kuna zile "small prints" watu wa mikopo hawapendagi kuwaelimisha watu, basi kumbe ndipo tunapoumia pale..
Itabidi hii sekta ya real estate, mortgage na house-loans iangaliwe aise, the price is to high...
 
Hapa hakuna mtaaam hata mmoja. Ni waswahili tu wanaolipwa na upinzania legelege usiokuwa na programme hata moja ya kisiasa. Kazi yao ni kusubiri kudakia kila kinachosemwa na viongozi wa serikali.

Mwaka jana kundi hili hili lilianzisha thread humu likidai haiwezekeni Tzs. 10bn/- kujenga mabweni hayo 20 ya UDSM. Reaction hiyo ilikuwa mara baada ya JPM kukataa pendekezo la mkabdarasi kuwa zilihitajika Tzs.100bn/- kujenga mabweni hayo. Badala yake JPM alitaka wataalam wa majengo TBA, wakadirie upya garama halisi za kujenaga mabweni hayo kwa kutumia design na materials zilizokuwa zimependekezwa na mkandarasi, na kwamba ujenzi huo ukamilike ndani ya mwaka mmoja.

TBA wakaenda kwenye drawing board na kisha kuleta pendekezo kuwa Tzs. 10bn/- zingetosha kukamilisha kazi. Baada ya hapo JPM aliagiza kazi ya ukandarasi wapewe TBA. Waswahili hawa, vishoka wapigaji na mawakala wao walileta thread humu kuwa haitawezekana kujenga na kukamilisha majengo hayo kwa Tzs.10bn/-. Sasa, kwa aibu, baada ya kuona TBA/mkandarasi amekamilisha na ku-deliver quality buildings ndani ya muda, wanaleta mjadala mwingine ikiwa ni caveat kuzuia aibu.

Hawa jamaa wanajulikana; ni team EL wanaolipwa kwa distortions wanazofanya kwenye social media. We have to just ignore them.
...shida yenu wabongo kuamini kila mnachoambiwa na watawala....
ngejua kiasi gani Management ya TBA ilivyotaabika na ule mradi kwa ..kupeleka Bajeti ya siasa wala msingeandika haya mambo...
 
Inawezekana kabisa kwa standard ile, anayehisi yale majengo ni high quality hana idea na anachokiongea, yana quality ya chini sana, hata vyumba vipo ovyo. Its very possible, japo mkandarasi namuonea huruma maana najua atakua hajapata margin yoyote ile, ni sawa na amefanya kazi bure.
...sio kufanyakazi bure tu na madeni juu....
watu wanateremsha Povu humu...sababu wamezoea kumezeshwa Maneno na watawala
 
...shida yenu wabongo kuamini kila mnachoambiwa na watawala....
ngejua kiasi gani Management ya TBA ilivyotaabika na ule mradi kwa ..kupeleka Bajeti ya siasa wala msingeandika haya mambo...
Kazi imekamilika. Mgt ya TBA ilitaabika kuhakikisha kazi ziliainishwa kwenye mradi zinafanyk na mrdi unakamilika ndani ya muda na bajeti; ni sawa. Mental and physical fatigue (kutaabika) ndio kazi yenyewe na dhana ya kulipwa ujira. Wahenga walisema kazi si lelemama.
 
Tungoje utawala wa Lowasa utakaojenga hostel zitakazohimili hata tetemeko kubwa kabisa duniani. Hapo ndipo utakaporidhika. Tusubiri. Lakini kwa sasa endelea kuumiza roho yako kwa sumu ya chuki. Pole sana aisee.
Kwahiyo unataka kutoa watoto wetu kafara kwaajili ya mauchaguzi yenu ya 2020 ati hebu tuambie vizuri
 
Mmezoea kuibiwa mananga nyie ndio maana mnahoji kuwa kwanini hamjaibiwa tena kwenye ujenzi wa hostel.!!!
 

Umeongea tena cha maana, hata vi studio studio bro, room moja kubwa ikijitosheleza kila kitu humo, pa kakiti, choo, kajiko na pakulala, sio lazima target yako kila wakati iwe wenye familia, sasa hawa wa studio wakipata family watahamia zile kubwa, and the cycle continues...
Kuna jamaa mmoja nilitaja bei za mikopo humu, hasa za benki na NHC, ktk mahesabu yangu kwa kweli yalikaribia (mark-up 2.55)! That is too high kwa wale vijana wetu wa vyuo n.k.! Ila yeye alibisha kabisa na kudiriki kusema huwa nakopa kwa ma (Loan Sharks)! Wakati kiukweli wao hawapiga jumla ya hesabu yote ya deni siku ukidaiwa, kuna zile "small prints" watu wa mikopo hawapendagi kuwaelimisha watu, basi kumbe ndipo tunapoumia pale..
Itabidi hii sekta ya real estate, mortgage na house-loans iangaliwe aise, the price is to high...
Very very good point mkuu. Real estate sector iliachwa kujiendesha yenyewe utadhani serikali haipo, unacceptable kabisa. Yaani investors wengi wako kujenga nyumba za bei mbaya tu. Chunguza hata sasa. Zile za bei nafuu kwa kweli ni chache na most zinakuwa kwenye hali mbaya sana conditionally. Ndio maana serikali inabidi iiwezeshe TBA kujenga affordable houses mijini kwa ajili ya rika zote - mabachelor na wenye familia. Hii itasaidia sana kupooza bei za nyumba mitaani na kusaidia sana watumishi kuweza kuwa na mahali safi pakuishi bila kutoboa mifuko. Kingine, wabongo wengi elimu ya mikopo ni ndogo na hata ya matumizi pindi tupatapo pia ni issue hivyo tunaishia kupoteza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom