Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,260
- 83,658
Ndiyo ndiyoUnatumia?!
Ndiyo ndiyoUnatumia?!
Wewe tenaHuwez ujua utamu wa Mbunye kama wewe sio kitombi
Au utamu wa pilipili kama wewe sio mtumiaji
Vile vile kweNye Bia,
Watumiaji kama MLEVi Mmoja na Mshana Jr wanajua.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na ww kumbe hazipandiina mie nashangaa yaan lol
DuhhBia tamu
Duuh wenzio wanakwambia tamu duuh....Likitu lenyewe chunguuuuuu
Sijui hata kinawanogea nini wanywa mibia
Hebu nunua kamboga kazuuuuri mwambie shem akapike vizuriii ule na kaugali ka dona mixer na makopa !!! Kisha tafuta tubia kwako tuwili kisha washa sigara embass !!!! Acha aiseee maisha matamu bwana!!! Ila bia tamu!!!
NB ila uwe umemaliza ada za watot
Makopa ni Nini?yaani juice embe ni kila kitu,nakushauri uache pombe na sigara jamaa yanguHebu nunua kamboga kazuuuuri mwambie shem akapike vizuriii ule na kaugali ka dona mixer na makopa !!! Kisha tafuta tubia kwako tuwili kisha washa sigara embass !!!! Acha aiseee maisha matamu bwana!!! Ila bia tamu!!!
NB ila uwe umemaliza ada za watoto
Hahahahaha asante mkuu bado naitaji data za kutosha.Kwa wewe anza na na Serengeti light, mimi nipo level za Balimi na safari lager, karibu sana
Njoo ule bia mremboRedds ndo nakunywaga tu, ila hiyo mingine jaman hata uweke crate utakuta kama ilivyo
Ha ha ha pombe ni shetani. Tena pepo la umaskini.
Haswaa na ni kifo l
Neno 'tamu' ama 'mautamu' ni neno la kihisia zaidi kuliko uhalisia.Natumai muwakheli wa afya,,,,
Nijikite moja kwa moja kwenye mada husika, mimi sio mnywaji wa bia ila napenda kufahamu kupitia watumiaji wa kimiminika hicho.
Je ni kweli Bia ni tamu kama inavyodaiwa?
Nakumbuka siku moja nikiwa na rafiki zangu tulitoka mahali pa kupata vinywaji na chakula (Hotel), ilikuwa weekend wao wakaaagiza vinywaji aina ya serengeti light me nikaagiza juice ya embe kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo walizidi kuongeza vinjwaji wakati huo me bado nahangaika na juice yangu.
Nikajiuliza inaa maana aina hii ya kinywa haina kikomo mbona toka tumeanza wamesha maliza zaidi ya chupa 9 wakati me niko na kopo langu ni kuwa kuna radha tofauta lakini pia inawezaje kuishia tumboni bila tumbo kujaa alihali mtu akiagiza soda hawezi maliza hatachupa 3,!!
Na hii nimekuwa nikiiona sehemu nyingi za starehe kukuta meza imejaa vilevi kuliko juice au soda.
Sikuwa na majibu lakini pia sikuweza hata kuuliza kwani nilikua nimekaribishwa.
Kulitipia kibao hiki cha Mario kinachotikisa kwa sasa Bia tamu. Bila shaka watumiaji mpo hemu jimwayeni hapa tupate fahamu mengi zaidi juu ya utam wa bia....
Nawasilisha.
Likitu lenyewe chunguuuuuu
Sijui hata kinawanogea nini wanywa mibia
Nakuja me yangu redds tu au St anna baridiiiiNjoo ule bia mrembo
Hamna kituu