Ni kweli bara la Australia lipo Upside down?

ICT OFFICER

JF-Expert Member
Oct 6, 2018
235
299
Habarini wakubwa,

Naomba kufahamu kidogo. Kutokana na umbile la dunia( sphere), bara la Australia lipo Southen Pole of the Earth, maswali huwa najiuliza je watu, majengo & milima ipo upside down??

Kama ni kweli kwanini hawahisi hiyo hali???

Najua hawazezi kuanguka kutokana na Gravity force.

Pia ningependa kujua Universe is infinity space?? Au kuna ukomo

LAKINI WATU MNAKWEPA SWALI, JE WATU WA ÀUSTRALIA WAPO UPSIDE DOWN.... PIA NA BARA LA ANTARCTICA


***** MAJIBU & UPDATES KUSUHU MDUARA WA DUNIA & ISSUE YA UPSIDE DOWN ***

Picha hii chini inaonyesha jinsi watu wa mabara (Continents) tofauti wanavyokuwa wakisimama wima kwa muda mmoja, pia katika picha hii hakuna mtu anaye hisi kama kichwa kipo chini au juu, wote wanaona wapo level moja
AMA KWELI MUNGU NI ZAIDI YA FUNDI.

main-qimg-819673c3625e005b329184fad88a34e8.png


Muonekano wa Mwezi katika watu wa mabara tofauti, Mtu aliye NORTHEN POLE & SOUTHEN POLE wataona mwezi mmoja lakini, Mmoja anaona UP mwengine ataona DOWN, Tazama Picha hapo chini
main-qimg-18dd87951f261bac5a48d9eac3362013.png


Muonekano halisi wa mwezi kwa North hemisphere and South Hemisphere assume wote wakiupiga mwezi picha kwa wakati mmoja, Mwingine wataona UPSIDE DOWN.
main-qimg-d4792b8ce78b00a3654e07c99b96234b.png


HAKIKA DUNIA NI DUARA, KABISA....

Unaweza kukosoa au Kuongeza Nyama, Karibu
 
1. Earth kuwa sphere, oval, round au flat sifahamu japo shule walifanya kila njia kuniaminisha ni Sphere japo kwa uwelewa wangu ni FLAT 'Bense'.
2. Kama naamini ni FLAT 'Bense' Australia wapo oke wamesimama vizuri tu.
3. Mduara hauna kikomo Ila Mnyoofu/Msitatili unakikomo nikiwa na maana Dunia inakikomo lakini Universe haina Earth=FLAT 'Bense' lakini Universe=Sphere+Oval+Circle

Kama uliwahi kuambiwa/kuskia sayari ya Pluto imetoweka kisha kuonekana na kutoweka means Universe inajibadili maumbo yake Sphere, Oval na Circle.

Dunia sio Sphere bali FLAT 'Bense' kwa maono yangu mimi. Lakini kiuhalisia shika Earth Globe zinazopatikana shuleni, hospitali na madukani angalia sphere eneo China ilipo na US au Canada ajiulize umbali huo ni sahihi kutumia masaa (Flani) kwa safari zinazowahusisha?! Kisha rudi Flat Earth ujumlishe, utoe na kuzidisha utapata jibu.

Note: Kuna haiba ya Uthubutu na Uwoga chagua itakayokupendeza na kufaa.
 
Dunia ni duara lakini duara kubwa sana kiasi kwamba ukiwa mahali popote juu ya uso wake huwezi kuhisi unasimama upande kwani vile vile gravity ni kubwa na sawa pande zote.

Pia hakuna kitu kingine kikubwa kama dunia karibu na dunia ambacho kingekuwa reference na kutufanya tujisikie tupo kichwa chini miguu juu. Miguu yote ipo chini na vichwa vyote vipo juu kwasababu gravity inavuta upande ule ule wa miguu hata kwa wale waliopo upande wa pili wa tufe.

Ulimwengu ‘universe’ hauna mwisho!
 
Dunia ni duara lakini duara kubwa sana kiasi kwamba ukiwa mahali popote juu ya uso wake huwezi kuhisi unasimama upande kwani vile vile gravity ni kubwa na sawa pande zote.

Ulimwengu ‘universe’ hauna mwisho!
Yaah ni duara kubwaa sana kiasi kwamba huwezi kuhisi kama umesimama at the edge au upo mwisho wa duara...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Earth kuwa sphere, oval, round au flat sifahamu japo shule walifanya kila njia kuniaminisha ni Sphere japo kwa uwelewa wangu ni FLAT 'Bense'.
2. Kama naamini ni FLAT 'Bense' Australia wapo oke wamesimama vizuri tu.
3. Mduara hauna kikomo Ila Mnyoofu/Msitatili unakikomo nikiwa na maana Dunia inakikomo lakini Universe haina Earth=FLAT 'Bense' lakini Universe=Sphere+Oval+Circle

Kama uliwahi kuambiwa/kuskia sayari ya Pluto imetoweka kisha kuonekana na kutoweka means Universe inajibadili maumbo yake Sphere, Oval na Circle.

Dunia sio Sphere bali FLAT 'Bense' kwa maono yangu mimi. Lakini kiuhalisia shika Earth Globe zinazopatikana shuleni, hospitali na madukani angalia sphere eneo China ilipo na US au Canada ajiulize umbali huo ni sahihi kutumia masaa (Flani) kwa safari zinazowahusisha?! Kisha rudi Flat Earth ujumlishe, utoe na kuzidisha utapata jibu.

Note: Kuna haiba ya Uthubutu na Uwoga chagua itakayokupendeza na kufaa.
Lakini kumbuka zipo prove za kisayansi zinazoonyesha kuwa dunia n duara, mfano
1. Sunrise & sunset
2. Ship navigation
3. Lunar Eclipse

Kama ukichukulia mawazo yako kuwa dunia n FLAT, hivi vitu vyote haviwezi kutokea bro
 
Lakini kumbuka zipo prove za kisayansi zinazoonyesha kuwa dunia n duara, mfano
1. Sunrise & sunset
2. Ship navigation
3. Lunar Eclipse

Kama ukichukulia mawazo yako kuwa dunia n FLAT, hivi vitu vyote haviwezi kutokea bro
Hata siku moja usiseme DONE, kumaliza unaweza Ila sio kwa 100%.
Tafuta Manila paper tia kiwiko katikati iwezekuwa na asili ya sahani za karatasi (Zinazotumika katika sherehe na hafla mbalimbali) iweke juu ya meza kisha shika grope au groli katika 40 angle degrees (dimension) kwa Grope na 60 degrees kwa groli na katika manila mimina maji. Pia tengeneza mitumbwi kwa karatasi tia ndani ya maji hayo huku ukiwa umeweka maua, mawe na mchanga. Washa feni kwa umbali ukizidisha na kutoa utapata yafuatayo:-

• Meza/Beseni = Universe
• Sahani = Earth
• Grope, Groli = Sun & Moon
• Mawe/Mchanga = Continents, Mountains, Beaches etc
• Maji = Oceans and Lakes
• Feni = Moving air, Wind na inasababisha Maji kucheza.

Haya mengine endeleza.
 
Hata siku moja usiseme DONE, kumaliza unaweza Ila sio kwa 100%.
Tafuta Manila paper tia kiwiko katikati iwezekuwa na asili ya sahani za karatasi (Zinazotumika katika sherehe na hafla mbalimbali) iweke juu ya meza kisha shika grope au groli katika 40 angle degrees (dimension) kwa Grope na 60 degrees kwa groli na katika manila mimina maji. Pia tengeneza mitumbwi kwa karatasi tia ndani ya maji hayo huku ukiwa umeweka maua, mawe na mchanga. Washa feni kwa umbali ukizidisha na kutoa utapata yafuatayo:-

• Meza/Beseni = Universe
• Sahani = Earth
• Grope, Groli = Sun & Moon
• Mawe/Mchanga = Continents, Mountains, Beaches etc
• Maji = Oceans and Lakes
• Feni = Moving air, Wind na inasababisha Maji kucheza.

Haya mengine endeleza.
Duh!
 
  1. Australia’s nickname of “The land down under” arises from its location in the Southern Hemisphere. Thanks to this location, summer runs from December to February (meaning that there’s no snow during Christmas). Also, compared to the Northern Hemisphere, the stars in Australia are upside down.
 
1. Earth kuwa sphere, oval, round au flat sifahamu japo shule walifanya kila njia kuniaminisha ni Sphere japo kwa uwelewa wangu ni FLAT 'Bense'.
2. Kama naamini ni FLAT 'Bense' Australia wapo oke wamesimama vizuri tu.
3. Mduara hauna kikomo Ila Mnyoofu/Msitatili unakikomo nikiwa na maana Dunia inakikomo lakini Universe haina Earth=FLAT 'Bense' lakini Universe=Sphere+Oval+Circle

Kama uliwahi kuambiwa/kuskia sayari ya Pluto imetoweka kisha kuonekana na kutoweka means Universe inajibadili maumbo yake Sphere, Oval na Circle.

Dunia sio Sphere bali FLAT 'Bense' kwa maono yangu mimi. Lakini kiuhalisia shika Earth Globe zinazopatikana shuleni, hospitali na madukani angalia sphere eneo China ilipo na US au Canada ajiulize umbali huo ni sahihi kutumia masaa (Flani) kwa safari zinazowahusisha?! Kisha rudi Flat Earth ujumlishe, utoe na kuzidisha utapata jibu.

Note: Kuna haiba ya Uthubutu na Uwoga chagua itakayokupendeza na kufaa.

Mkuu kama dunia flat mbona hapa tulipo mda huu wengine wamelala wengine asubuhi au ndo kasi ya mwanga umechelewa kufika na pia mwezi wanasema auwaki kama tunavyouona usiku wanasema ni kuakisi mwanga kutoka kwa jua hii imekaeje mkuu au na we ndo unaamini nadharia ya jua kuzama matopeni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu kama dunia flat mbona hapa tulipo mda huu wengine wamelala wengine asubuhi au ndo kasi ya mwanga umechelewa kufika na pia mwezi wanasema auwaki kama tunavyouona usiku wanasema ni kuakisi mwanga kutoka kwa jua hii imekaeje mkuu au na we ndo unaamini nadharia ya jua kuzama matopeni


Sent from my iPhone using JamiiForums
Swali zuri sana bro
 
Mkuu kama dunia flat mbona hapa tulipo mda huu wengine wamelala wengine asubuhi au ndo kasi ya mwanga umechelewa kufika na pia mwezi wanasema auwaki kama tunavyouona usiku wanasema ni kuakisi mwanga kutoka kwa jua hii imekaeje mkuu au na we ndo unaamini nadharia ya jua kuzama matopeni


Sent from my iPhone using JamiiForums
1. Wao Wanasema (Sio kila wanachosema ni sahihi).
2. Jua kuzama matopeni (Ume-refer thread yeye maudhui ya kidini. Mimi siongelei dini na namuamini Mungu sio dini at first.

Majibu:-
• Dunia kuwa FLAT sio kwamba haitembei/paa/zunguka hapana inapaa/zunguka vizuri tu lakini kwa speed ya kati.
• Jua halikusimama/kaa sehemu moja na halizunguki bali lina runway/njia ya kwenda na kirudi (hupita hapo hapo) East to West/West to East pia linachanua na kufifia kama ua(flower) lakini halizimi kama taa.
• Mwezi umesimama mahala lakini angle ambayo inawezesha kuiona dunia vizuri. Mwezi huu unawaka lakini sio kwa ukali ni kama (Rubber maalumu au Bracelets ambazo gizani uwaka na kwenye mwanga huzima) ⬇
• Universe ndio inautajiri wa mwanga na rangi hivyo hubadili katika mazoea.
Nyongeza:-
• Nyota ni moja imesimama sehemu lakini miale na kunga'a kwake ndio tunaona Nyota kuwa nyingi.

Note: Ukirudi na kitu kinaitwa SCIENTIFIC LAWs jiulize leo hii nikisema wewe huna damu bali maji utakubali?!
 
1. Wao Wanasema (Sio kila wanachosema ni sahihi).
2. Jua kuzama matopeni (Ume-refer thread yeye maudhui ya kidini. Mimi siongelei dini na namuamini Mungu sio dini at first.

Majibu:-
• Dunia kuwa FLAT sio kwamba haitembei/paa/zunguka hapana inapaa/zunguka vizuri tu lakini kwa speed ya kati.
• Jua halikusimama/kaa sehemu moja na halizunguki bali lina runway/njia ya kwenda na kirudi (hupita hapo hapo) East to West/West to East pia linachanua na kufifia kama ua(flower) lakini halizimi kama taa.
• Mwezi umesimama mahala lakini angle ambayo inawezesha kuiona dunia vizuri. Mwezi huu unawaka lakini sio kwa ukali ni kama (Rubber maalumu au Bracelets ambazo gizani uwaka na kwenye mwanga huzima) ⬇
• Universe ndio inautajiri wa mwanga na rangi hivyo hubadili katika mazoea.
Nyongeza:-
• Nyota ni moja imesimama sehemu lakini miale na kunga'a kwake ndio tunaona Nyota kuwa nyingi.

Note: Ukirudi na kitu kinaitwa SCIENTIFIC LAWs jiulize leo hii nikisema wewe huna damu bali maji utakubali?!
Duh, nahisi unapotosha jamii
 
1. Wao Wanasema (Sio kila wanachosema ni sahihi).
2. Jua kuzama matopeni (Ume-refer thread yeye maudhui ya kidini. Mimi siongelei dini na namuamini Mungu sio dini at first.

Majibu:-
• Dunia kuwa FLAT sio kwamba haitembei/paa/zunguka hapana inapaa/zunguka vizuri tu lakini kwa speed ya kati.
• Jua halikusimama/kaa sehemu moja na halizunguki bali lina runway/njia ya kwenda na kirudi (hupita hapo hapo) East to West/West to East pia linachanua na kufifia kama ua(flower) lakini halizimi kama taa.
• Mwezi umesimama mahala lakini angle ambayo inawezesha kuiona dunia vizuri. Mwezi huu unawaka lakini sio kwa ukali ni kama (Rubber maalumu au Bracelets ambazo gizani uwaka na kwenye mwanga huzima) ⬇
• Universe ndio inautajiri wa mwanga na rangi hivyo hubadili katika mazoea.
Nyongeza:-
• Nyota ni moja imesimama sehemu lakini miale na kunga'a kwake ndio tunaona Nyota kuwa nyingi.

Note: Ukirudi na kitu kinaitwa SCIENTIFIC LAWs jiulize leo hii nikisema wewe huna damu bali maji utakubali?!
Duh, nahisi unapotosha jamii
 
1. Wao Wanasema (Sio kila wanachosema ni sahihi).
2. Jua kuzama matopeni (Ume-refer thread yeye maudhui ya kidini. Mimi siongelei dini na namuamini Mungu sio dini at first.

Majibu:-
• Dunia kuwa FLAT sio kwamba haitembei/paa/zunguka hapana inapaa/zunguka vizuri tu lakini kwa speed ya kati.
• Jua halikusimama/kaa sehemu moja na halizunguki bali lina runway/njia ya kwenda na kirudi (hupita hapo hapo) East to West/West to East pia linachanua na kufifia kama ua(flower) lakini halizimi kama taa.
• Mwezi umesimama mahala lakini angle ambayo inawezesha kuiona dunia vizuri. Mwezi huu unawaka lakini sio kwa ukali ni kama (Rubber maalumu au Bracelets ambazo gizani uwaka na kwenye mwanga huzima)
• Universe ndio inautajiri wa mwanga na rangi hivyo hubadili katika mazoea.
Nyongeza:-
• Nyota ni moja imesimama sehemu lakini miale na kunga'a kwake ndio tunaona Nyota kuwa nyingi.

Note: Ukirudi na kitu kinaitwa SCIENTIFIC LAWs jiulize leo hii nikisema wewe huna damu bali maji utakubali?!

Mkuu hawa wanasayansi kuna vitu wanatuingiza chaka na tunakubali kwamba hiki ni chaka tunaingizwa,mfano"evolution of man"ila hili la umbo la dunia,bado una pointi dhaifu sana za kuwapinga.

Dunia ni flat sawa.kwanini nikisimama tu hapo kigamboni naona mlima wa maji,ambao unanizuia nisiione zanzibar???

Ni kwanini nikisimama kwenye jengo refu zaidi,naaona mikunjo ya duara kwa mbaali,au ni viroba vimeingia machoni??hakuna mkunjo wowote.

Simama hapo ulipo angalia mbele mawinguni,unaona mawingu yameshuka mbele kule si ndio??embu mark eneo yanapoonekan chini kabisa,kisha nieleze unaweza fuata ukayakuta??
 
Mkuu hawa wanasayansi kuna vitu wanatuingiza chaka na tunakubali kwamba hiki ni chaka tunaingizwa,mfano"evolution of man"ila hili la umbo la dunia,bado una pointi dhaifu sana za kuwapinga.

Dunia ni flat sawa.kwanini nikisimama tu hapo kigamboni naona mlima wa maji,ambao unanizuia nisiione zanzibar???

Ni kwanini nikisimama kwenye jengo refu zaidi,naaona mikunjo ya duara kwa mbaali,au ni viroba vimeingia machoni??hakuna mkunjo wowote.

Simama hapo ulipo angalia mbele mawinguni,unaona mawingu yameshuka mbele kule si ndio??embu mark eneo yanapoonekan chini kabisa,kisha nieleze unaweza fuata ukayakuta??
Kigamboni huoni Zanzibar sababu ya miinuko, milima na mabonde. Ni sawa na kuwa na ghorofa 6 na ghorofa 12 eneo moja.

Dunia kuwa FLAT 'Bense' sio kwamba imetandikwa chini kama mkeka, pia mawingu unayoyaona ndio universe ambayo ni kubwa kuliko na hapo nimesema universe ndio (Sphere, Oval na Circle) wingu liloshuka ndio ukuta wa universe.
 
Kigamboni huoni Zanzibar sababu ya miinuko, milima na mabonde. Ni sawa na kuwa na ghorofa 6 na ghorofa 12 eneo moja.

Dunia kuwa FLAT 'Bense' sio kwamba imetandikwa chini kama mkeka, pia mawingu unayoyaona ndio universe ambayo ni kubwa kuliko na hapo nimesema universe ndio (Sphere, Oval na Circle) wingu liloshuka ndio ukuta wa universe.

Nimechagua kigamboni na sio msata/pwani ili unielewe,milima na vichuguu baharini vinatoka wapi??

Mawingu yako ndani ya milki ya dunia kama km5 kutoka chini.huo ukuta unaouzungumzia una upana mile ngapi maana katikati yake kuna nyota za karibu na za mbali kiasi kwamba zinaonekana kama unga tu uliomwagwa.
 
Back
Top Bottom