jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Superspy bwana Ashraf Marwan alikutwa amekufa huko Nchi Uingereza katika jiji la London alipokuwa akiishi katika jumba aghali la kupanga la Carlton house.
Mwamba huyo "Angel" inasemekana alikuwa ni double agent baina ya Nchi yake ya kuzaliwa Misri na Israel.
Hakika kifo chake kilijawa na utata wa nina hasa alimuua!
Soma Who killed the 20th century’s greatest spy? | Simon Parkin
Tazama:
Sasa kwa anayeifahamu vyema historia ya huyo mwamba na atuwekee hapa.
Pia,je ni kweli ndiye aliyevujisha siri ya kushambuliwa Israel kwa ndege vita za Misri?
Nawasilisha.
Mwamba huyo "Angel" inasemekana alikuwa ni double agent baina ya Nchi yake ya kuzaliwa Misri na Israel.
Hakika kifo chake kilijawa na utata wa nina hasa alimuua!
Soma Who killed the 20th century’s greatest spy? | Simon Parkin
Tazama:
Sasa kwa anayeifahamu vyema historia ya huyo mwamba na atuwekee hapa.
Pia,je ni kweli ndiye aliyevujisha siri ya kushambuliwa Israel kwa ndege vita za Misri?
Nawasilisha.