GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Mkapa alikuwa haogopi mijadala ya kimataifa- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTV
Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Siku zote ukiwa na Akili sana, Unajiamini, Msomi na Msomaji mzuri wa Vitabu, una 'Exposure' ya Kutosha, siyo Mnafiki wala Muoga, Mcha Mungu hasa na siyo Mchanganya Mungu na Majini ya Baharini, Mshamba na Mbinafsi hata Watu wa Kimataifa nao Watakuheshimu mno tu.
RIP sana Rais wangu Bora kabisa wa Pili kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Benjamin William Mkapa 'Makuwa Genius' ukitanguliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 'Zanaki Genius' na Kiukweli si tu huwa nawakumbuka bali nawalilia zaidi kwani mliifanya Tanzania iheshimike si tu Afrika bali hata duniani kote.
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTV
Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Siku zote ukiwa na Akili sana, Unajiamini, Msomi na Msomaji mzuri wa Vitabu, una 'Exposure' ya Kutosha, siyo Mnafiki wala Muoga, Mcha Mungu hasa na siyo Mchanganya Mungu na Majini ya Baharini, Mshamba na Mbinafsi hata Watu wa Kimataifa nao Watakuheshimu mno tu.
RIP sana Rais wangu Bora kabisa wa Pili kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Benjamin William Mkapa 'Makuwa Genius' ukitanguliwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 'Zanaki Genius' na Kiukweli si tu huwa nawakumbuka bali nawalilia zaidi kwani mliifanya Tanzania iheshimike si tu Afrika bali hata duniani kote.