Ni kwanini wizara imepeleka wanafunzi wa A-level Dr. Nchimbi Secondary School?

kasahunga

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
215
33
Hebu tujadiliane kidogo, kwani kuna allocations ambayo imefanyika kwa kupeleka wanafunzi sehemu ambayo ilikuwa haijaandaliwa kwa ajili ya kupokea wanafunzi wa kidato cha tano. Wanafunzi hao wamepangwa katika shule ya sekondari ya Dr Nchimbi.

Mpaka sasa wizara haijatoa tamko la hao wanafunzi kuwa wanatakiwa kwenda shule zipi wakati kufikia jumatatu shule zinafunguliwa.

Je hawa wanafunzi watakwenda wapi?
 
Marco. Shule ya Sekondari pale Bunda Mjini, inayoitwa Dr Nchimbi ni shule ya Serikali. Ila haijawa High school. Ndio wananchi wanashangazwa na maamuzi ya serikali kupeleka wanafunzi wa kidato cha tano hapo.
 
Marco. Shule ya Sekondari pale Bunda Mjini, inayoitwa Dr Nchimbi ni shule ya Serikali. Ila haijawa High school. Ndio wananchi wanashangazwa na maamuzi ya serikali kupeleka wanafunzi wa kidato cha tano hapo.

tatizo wabongo tumezidi kulalaika. wewe nani kakwambia haijawa high school? serikal haikurupuki fikiria kwa kutumia kichwa sio kalio

wewe unazijua sifa za shule kuwa high school??
 
Shule haina high school kivipi wakati kuna wanafunzi wako tayari na sahizi wanaingia form six.

Mimi kuna madogo nawajua wamasoma huko,sasa wewe mbona unadanganya?
 
tatizo wabongo tumezidi kulalaika. wewe nani kakwambia haijawa high school? serikal haikurupuki fikiria kwa kutumia kichwa sio kalio

wewe unazijua sifa za shule kuwa high school??
Kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya wanaojua wachangie. Kwa kuangalia jina la mtoa mada anaonekana ni mkazi wa Bunda, tena inawezekana akawa kwenye sekta hiyo ya elimu, amekuambia hapo Dr. Nchimbi hakuna Form V & VI na wakati huo huo pamepangiwa wanafunzi wa form V. Hili nalithibitisha kwa kuwa nimeshiriki kuwaandikia TAMISEMI kuwataarifu changamoto hii na haikutokea Dr. Nchimbi tu bali ni shule zipatazo 5 wilayani Bunda, bofya hapa uone kinachoongelewa. Acheni siasa kwenye mambo ya kitaalamu!
 
Hebu tujadiliane kidogo, kwani kuna allocations ambayo imefanyika kwa kupeleka wanafunzi sehemu ambayo ilikuwa haijaandaliwa kwa ajili ya kupokea wanafunzi wa kidato cha tano. Wanafunzi hao wamepangwa katika shule ya sekondari ya Dr Nchimbi.

Mpaka sasa wizara haijatoa tamko la hao wanafunzi kuwa wanatakiwa kwenda shule zipi wakati kufikia jumatatu shule zinafunguliwa.

Je hawa wanafunzi watakwenda wapi?
Mkuu cjakuelewa wanafunzi wafika wamekuta hakuna waalimu au?
 
Marco. Shule ya Sekondari pale Bunda Mjini, inayoitwa Dr Nchimbi ni shule ya Serikali. Ila haijawa High school. Ndio wananchi wanashangazwa na maamuzi ya serikali kupeleka wanafunzi wa kidato cha tano hapo.
Huwa tayari ilishakuwa kwenye mpango, kwahiyo unakuta hiyo ni kuongeza nguvu ya ushawishi. Shaka ondoa, wanajua wanachofanya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom