Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
- Thread starter
- #81
Mbona unajidharau kiasi hicho kijana? "Sisi masikini" ndio nini?Hao awawazi tena kuhusu basic needs kuvaa tuachie sisi masikini
Mbona unajidharau kiasi hicho kijana? "Sisi masikini" ndio nini?Hao awawazi tena kuhusu basic needs kuvaa tuachie sisi masikini
Masikini upenda kuvaa Ili kuficha umasikini,mtu mwenye pesa yupo bize huo mda wa kuvaa autoe wapi.Mbona unajidharau kiasi hicho kijana? "Sisi masikini" ndio nini?
Kwa hiyo unawashauri nini vijana wa Kitanzania?Masikini upenda kuvaa Ili kuficha umasikini,mtu mwenye pesa yupo bize huo mda wa kuvaa autoe wapi.
Watu wenye akili ambao kwao time is factor of production hawana muda wa kuvaa hizo nguo mnazoziita kali. Wako busy na creativity and innovation
Kuvaa ni hobbies na kutovaa ni hobbiesKwa hiyo unawashauri nini vijana wa Kitanzania?
wewe ndio mshamba, kama umefika ulaya, hiyo prova amevaa bei yake sio sawa na prova unazonunua hapa kariakoo, si ukute ni pesa ndefu tu. hata hilo jinsi, na sendo.Jamani hivi ni mimi tu niliyeliona hili au? Kwa nini Wazungu wana hela ila wanavaa kishamba? Na nguo kali zinatoka kwao.