Ni kwanini watu wengi walioa au kuolewa bado wanawapenda ma ex wao kuliko wabeba mizigo ndani ya ndoa

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,180
3,547
Nimejaribu kutafakari ni kwanini watu wengi waliopo ndani ya ndoa bado wana mapenzi na wachumba wao wa zamani kuliko wabeba mizigo ambao wamejitolea kuolewa nao au kuwaoa na kubeba majukumu yote lakini mwisho wa siku wabeba mizigo hawapewi love kwa kiwango cha juu zaidi

Nazungumza hivyo kwa sababu nina rafiki yangu alikuwa girlfriend wake walidumu karibia miaka 6 ndani uchumba Sugu lakini mwisho wa mchezo demu alikuja kuolewa na mshikaji mwingine ambae alionesha nia Akaja kuoa lakini baada ya mwaka mmoja alimtafuta msela wake wa zamani mpka leo hii wanakula raha na kupitia hela za mshikaji kamfungulia Ex wake biashara kubwa

Lakini mwisho wa siku hebu tujiulize why Ex huwa anapedwa sana kuliko mbeba mzigo
 
Nimejaribu kutafakari ni kwanini watu wengi waliopo ndani ya ndoa bado wana mapenzi na wachumba wao wa zamani kuliko wabeba mizigo ambao wamejitolea kuolewa nao au kuwaoa na kubeba majukumu yote lakini mwisho wa siku wabeba mizigo hawapewi love kwa kiwango cha juu zaidi

Nazungumza hivyo kwa sababu nina rafiki yangu alikuwa girlfriend wake walidumu karibia miaka 6 ndani uchumba Sugu lakini mwisho wa mchezo demu alikuja kuolewa na mshikaji mwingine ambae alionesha nia Akaja kuoa lakini baada ya mwaka mmoja alimtafuta msela wake wa zamani mpka leo hii wanakula raha na kupitia hela za mshikaji kamfungulia Ex wake biashara kubwa

Lakini mwisho wa siku hebu tujiulize why Ex huwa anapedwa sana kuliko mbeba mzigo
Wengi wanaoa/kuolewa na watu wasiowapenda sna.
 
Hivi si kwamba itategemea nini kiliwaunganisha na ex wako na kipi kinakuunganisha na mwanandoa wako?!

Kwa mfano, kama ex wako mliunganishwa na kitu kingine kabisa na wala sio mapenzi ya dhati, lakini mwana ndoa wako ndie hasa aliye moyoni mwako... hapo mtu bado anaweza kumkumbuka ex wake?

Kama atamkumbuka, atamkumbuka kutokana na mapenzi yake kwake au kutokana na vile alivyokuwa ana-provide?!
 
Hivi si kwamba itategemea nini kiliwaunganisha na ex wako na kipi kinakuunganisha na mwanandoa wako?!

Kwa mfano, kama ex wako mliunganishwa na kitu kingine kabisa na wala sio mapenzi ya dhati, lakini mwana ndoa wako ndie hasa aliye moyoni mwako... hapo mtu bado anaweza kumkumbuka ex wake?

Kama atamkumbuka, atamkumbuka kutokana na mapenzi yake kwake au kutokana na vile alivyokuwa ana-provide?!

Mara nyingi mapenzi ya hiari (huna wazo la ndoa wala presha yoyote) hudondokea kwa unayempenda haswa! Inakuwa ni natural Love na inakuwa powerful sana!

Wengi, huingia kwenye ndoa kwa kufuata 'ndoa' si mapenzi!! Yaan kwa sababu upande mmoja umetangaza nia basi panatokea makubaliano lakini penzi halisi lipo kwa x.

Pia, wengi huingia kwenye ndoa kwa stress! Mfano demu wangu kanikimbia kaenda kuolewa na fulani basi na mie naoa ili ajue kwamba nilikuwa mbioni kuoa kachezea bahati!

Ukishaoa, stress zimekata unagundua kuwa kumbe halikuwa chaguo sahihi! X demu wako kule nae anagundua alifuata ndoa kumbe mume wake nae si mtu sahihi!

Mnatafutana, mambo ndipo yanaanza hapo kunoga! Ma X wanatengeneza ××
 
Mara nyingi mapenzi ya hiari (huna wazo la ndoa wala presha yoyote) hudondokea kwa unayempenda haswa! Inakuwa ni natural Love na inakuwa powerful sana!

Wengi, huingia kwenye ndoa kwa kufuata 'ndoa' si mapenzi!! Yaan kwa sababu upande mmoja umetangaza nia basi panatokea makubaliano lakini penzi halisi lipo kwa x.

Pia, wengi huingia kwenye ndoa kwa stress! Mfano demu wangu kanikimbia kaenda kuolewa na fulani basi na mie naoa ili ajue kwamba nilikuwa mbioni kuoa kachezea bahati!

Ukishaoa, stress zimekata unagundua kuwa kumbe halikuwa chaguo sahihi! X demu wako kule nae anagundua alifuata ndoa kumbe mume wake nae si mtu sahihi!

Mnatafutana, mambo ndipo yanaanza hapo kunoga! Ma X wanatengeneza ××
Nakubaliana na wewe lakini kwa bahati mbaya sana, umesema "mapenzi ya hiari hudondokea kwa unayempenda hasa"! Anyway, hiyo ni bahati mbaya yenye UHALISIA!

Umependa kweli kweli... FINE, lakini mapenzi ni two-ways relationship!! Pamoja na kwamba umeingia kwa hiari, na unapenda kweli kweli, je nawe umependwa kweli kweli?!

Kupenda kwako kweli kweli kunaweza kukupa upofu na kuamini nawe unapendwa kweli kweli kumbe ni kinyume chake!!!

Kama aliyependa kweli kweli ni mwanamke, hatimae ndoa inatangazwa na mwanaume ambae kinachomsukuma yeye ni NDOA tu, na si kwamba ana mapenzi ya hiari kama mwenzake!

Mwanamke anaingia kwenye ndoa akiwa na upofu wa mapenzi na kwahiyo anaikaribisha ndo kwa mikono miwili sio kwa sababu anasukumwa na kutaka ndoa bali amependa kweli kweli, na kutangaziwa ndoa alipopenda kwake anaona ni bahati ilioje!!

Miezi kadhaa baadae ndo anakuja kupata ufunuo kwamba kumbe aliingia chaka!!

Hapo ndipo atakampomkumbuka ex wake, si kwa sababu hakuingia kwenye ndoa kwa hiari bali kwa sababu she doesn't feel pasionate love...

No affection kutoka kwa mume aliyeungana nae kwa moyo mmoja!!!

Lakini wakati mwingine, unaweza kukuta mmekutana wawili na wote mmeingia kwenye mapenzi ya hiari ambayo hatimae yakazaa ndoa!!!

Hapo sioni ni namna gani mwandoa mmoja atamkumbuka ex wake, na akimkumbuka basi ni kwa sababu nyingine kabisa!!!
 
Nakubaliana na wewe lakini kwa bahati mbaya sana, umesema "mapenzi ya hiari hudondokea kwa unayempenda hasa"! Anyway, hiyo ni bahati mbaya yenye UHALISIA!

Umependa kweli kweli... FINE, lakini mapenzi ni two-ways relationship!! Pamoja na kwamba umeingia kwa hiari, na unapenda kweli kweli, je nawe umependwa kweli kweli?!

Kupenda kwako kweli kweli kunaweza kukupa upofu na kuamini nawe unapendwa kweli kweli kumbe ni kinyume chake!!!

Kama aliyependa kweli kweli ni mwanamke, hatimae ndoa inatangazwa na mwanaume ambae kinachomsukuma yeye ni NDOA tu, na si kwamba ana mapenzi ya hiari kama mwenzake!

Mwanamke anaingia kwenye ndoa akiwa na upofu wa mapenzi na kwahiyo anaikaribisha ndo kwa mikono miwili sio kwa sababu anasukumwa na kutaka ndoa bali amependa kweli kweli, na kutangaziwa ndoa alipopenda kwake anaona ni bahati ilioje!!

Miezi kadhaa baadae ndo anakuja kupata ufunuo kwamba kumbe aliingia chaka!!

Hapo ndipo atakampomkumbuka ex wake, si kwa sababu hakuingia kwenye ndoa kwa hiari bali kwa sababu she doesn't feel pasionate love...

No affection kutoka kwa mume aliyeungana nae kwa moyo mmoja!!!

Lakini wakati mwingine, unaweza kukuta mmekutana wawili na wote mmeingia kwenye mapenzi ya hiari ambayo hatimae yakazaa ndoa!!!

Hapo sioni ni namna gani mwandoa mmoja atamkumbuka ex wake, na akimkumbuka basi ni kwa sababu nyingine kabisa!!!
Umegusa mulemule! Hongera sana mkuu.

Mapenzi ya hiari mara nyingi uchumba hudumu kwa muda mrefu, mara nyingi huanzia chini mpaka mujiandae kiuchumi, kiakili na kisaikolojia huhitaji muda mrefu mno. Ndipo, mmoja anaweza kuingia tamaa ya ndoa anaolewa ghafla! Tayari hapo bro.

Mapenzi ya hiyari, yakikua inavyotakikana basi yanaweza kuwafanya watu wakapata mapenzi sahihi!! Japo changamoto huwa hazikosekani. Nakubaliana nawe 100%
 
Tatizo lingine ni kwamba vijana wengi tunaingia kwenye ndoa kwa mihemuko jus imagine unakutana na mwanamke somewhere mnaanza mapenzi miezi3 tunaskia engagement mara harus hta hamjachunguzana vzr mkajuana udhaifu wa kila mmoja na mapungufu yenu. Ndoa yyte inayodumu fanya research inaanzia kwenye uchumba tena wa muda mrefu hata wakija kuona kukuta ndoa inashida ni kdg sana.. japo mapungufu yapo hakuna aliyekamilika.

Mfano dada yangu alikua kwenye mahusiano na shemej yangu toka akiwa advance form5 hapo jamaa yuko chuo walidumu kwenye mahusiano mpaka sister anamaliza chuo still wapo pamoja sista akapata mimba ndo jamaa kuanza mchakato wa ndoa nk, till now wapo pamoja na wanafuraha + plus watoto2.

Tuwe makini sana wanasema kusea yote sio kuoa manake mwanamke utakae mpata anaweza kuwa nuru au giza.
 
Naona unafurahia sana muoaji kupigiwa na ex ya huyo dada ambae ni mshkaji wako

Hii dunia kuna watu wanadhani wao kupendwa au kupewa uchi na mwanamke fulani basi yeye ni mwanadamu hivi superhuman wengine wote ng'ombe...

Sad to break to you,you are nothing mbele ya qumar,you are just like any other nigga..issue is,umepewa kipaumbele for the time being sababu huyo mwanamke hajapigwa na dudu la mwingine lako likawa uchafu

Its about time and space,usije jifanya eti wewe ni universal dick giver than everybody else

Na wewe huyo mwanamke wako utakae oa brother kwanza ni 100% atakua sio bikira na pia alipitia maex kadhaa ndio ukaja wewe..penda usipende huyo mke wako atapigwa dudu nje more than you do

Nachoona unanyoosha sana mkono kwa wengine as if wewe upo nje ya loop wakati utapitia the same shit...

Ishu ni kumwambia jamaa yako aache huo us3ng3,na huyo mwanamke mwambieni aache us3ng3 pia maana mume wake akimshika ni hana ndoa tena,na huyu ex wake anaepiga sasa hataweza muoa au mpa chochote

Huyo dada anachezea maisha big time,kama ana ubavu wa kuharibu familia yake na kukaa out of marriage forever basi aendelee,otherwise huyo dada naona mwisho wake ambao sio mzuri

Kinachoniudhi ni wewe unaeona uovu halafu upo kwenye position ya kukemea unaacha unabaki kushabikia kama hivi,kitu unachokua huelewi wewe round yako inakuja soon than later

Mkuu una maumivu sana pole Bro, I feel you.
 
Tatizo ni kwamba watu wengi hatuoi/hawaoi rafiki zao. Ukioa mpenzi ambae ni rafiki yako ndoa yenu lazima idumu coz ulianza urafiki ndio mapenzi yakaja. LAKINI ukitanguliza mapenzi lazima ndoa isumbue na mtu wako arudi kwa rafiki yake tu ambae ni ex wake ambao wengi wanakua walikua marafiki. So ushauri wangu ni kwamba kama ukitaka kuoa/kuolewa hakikisha unaoleaz na rafiki yako coz mapenzi ni hisia na hisia huwa zinaisha but urafiki hauishi.
 
Back
Top Bottom