Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kuna watu bana wanakera sana wameanzisha vi enjooo au vi organization vya aina tofauti tofauti vya ujasilia Mali viko tofauti tofauti
Katika ajira zao hizi wanakwambia ukitaka kupata hii Kazi utoe labda laki tatu au milioni mbili na ukiingia Kazi yako itakuwa ni kuleta watu kujiunga na hiyo tasisii na jinsi unavyoleta watu ndio bonus yako inaongezeka na ndio mshahara wakoo.
Na kila MWEZI unatakiwa ulipie ada ya uanachama unakuta labda laki moja unachangia taasisi na wenye hiyo taasisi wanakushawishi ukijiunga utakuwa tajirii .
Sasa najiuliza kama ni utajiri kwanini watu Hawa wasichukue ndugu zao waifanye hii Kazi wanataka wewe ndo ujiunge na unakuta unapigiwa Simu mimeseji kibao ujiunge ujiunge Hawa watu kiukweli wamekuwa keroo.
Mimi Nina rafiki yangu mmoja anafanya Kazi crdb na ni mwanachama wa hiyo taasisi kila siku ananishawishi nijiunge inalipa sana wakati huo huo ndugu zake kawatafutia Kazi crdb bank na sio paleeee ivi kwanini asipeleke hao ndugu zake wakajiunge
Mimi nilimwambia mshahara ninaupata huku unanitosha hayo mambo ya kujiongezea kipato fanyeni wenyewe na ndugu zenu kama inalipaaa na Mimi siwezi peleka ndugu yangu ukoo
Katika ajira zao hizi wanakwambia ukitaka kupata hii Kazi utoe labda laki tatu au milioni mbili na ukiingia Kazi yako itakuwa ni kuleta watu kujiunga na hiyo tasisii na jinsi unavyoleta watu ndio bonus yako inaongezeka na ndio mshahara wakoo.
Na kila MWEZI unatakiwa ulipie ada ya uanachama unakuta labda laki moja unachangia taasisi na wenye hiyo taasisi wanakushawishi ukijiunga utakuwa tajirii .
Sasa najiuliza kama ni utajiri kwanini watu Hawa wasichukue ndugu zao waifanye hii Kazi wanataka wewe ndo ujiunge na unakuta unapigiwa Simu mimeseji kibao ujiunge ujiunge Hawa watu kiukweli wamekuwa keroo.
Mimi Nina rafiki yangu mmoja anafanya Kazi crdb na ni mwanachama wa hiyo taasisi kila siku ananishawishi nijiunge inalipa sana wakati huo huo ndugu zake kawatafutia Kazi crdb bank na sio paleeee ivi kwanini asipeleke hao ndugu zake wakajiunge
Mimi nilimwambia mshahara ninaupata huku unanitosha hayo mambo ya kujiongezea kipato fanyeni wenyewe na ndugu zenu kama inalipaaa na Mimi siwezi peleka ndugu yangu ukoo