Ni kwanini watu waliopitia mfumo wa elimu ya kuunga unga hujiona wanajua kila kitu

Status
Not open for further replies.

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Japo sio wote ila nimefanya utafiti watu wengi waliopitia mfumo wa elimu ya kuunga unga wana tabia fulani ya kujiona wanajua kila kitu lakini pia kujiona wao ni zaidi,

Nazungumza ni kwa sababu kuna jamaa mmoja hivi aliingia UDSM kupitia ule mfumo wa mature entry kwa kuwa alikuwa hana vigezo cheti cha form four kilikuwa kibovu ila sasa hivi mshikaji kila nikimuona anajiona kila kitu anakijua full kuwakosoa wengine akiwaona watu wakubweteka lakini hajui maisha yana Leo na kesho


Ni kwanini watu wanakuwaga namna hiii.
 
Tumia elimu yako kuhudumia watu wenye uhitaji kwenye professional yako at the same time upate Pesa kwa mahitaji yako.

Sio kukaa na kusumbua watu as if uligraduate peke yako kumbe darasa lilikuwa na wanafunzi zaidi ya 100.

Other wise ni lack of confidence
 
Mleta uzi nawe umekosa kazi.Yaani kiufupi yeye ana degree na keshatambulika ana kiwango cha shahada kielimu.
Usiumie mpuuze fanya yako,huenda kwao yeye ndio kafika level hiyo ya elimu kwa kuungaunga."Ukikikosa kijutie,ukikipata jivunie".


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
... kati ya watanzania ninaowa-admire kwenye hili ni marehemu Misanya Bingi (rip). Huyu alitokea utangazaji sijui uandishi wa habari hadi kuwa lecturer (PhD) pale UDSM ndani ya muda usiozidi miaka 10 sio mchezo.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ila pia ungetwambia kabla ya kumjazia maneno huyo jamaa lipi unamzidi pamoja na shule yako ambayo sio ya kuunga, acha kujikwaza
 
Mkuu kuna mwalimu mmoja alinifundisha A level pale Musoma TECH nae alipata degree ya kuunga unga alikuwa ana nyodo balaa

Ukifanya kosa utasikia mi ng'ombe wangu ana diploma, kuku wangu wako form 2, hapo anakuambia mwanafunzi
ni vile mateso ya shule yao huwafanya inferior basi huishia kutesa wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom