Ok RSA nyau weweDuniani kuna nchi iitwayo South Afrika? Naungana nawe kabisa kwa kusema 'South Afrika' kweli huko Kupimwa 'Ukichaa' kuanzie Kwako haraka tu.
hapa kidogo nitofautiane na wewe.Njaa haina bouncer ni sawa na mtu anayewashwa sikio hata akiwa bouncer lazima akiweka kijiti sikioni akipikisha atatulia tuli ni sawa na njaa hata Mike Tyson angekuwa amejificha njaa ikimshika angejitokeza tuShida ya watanzania sio wavumilivu. Akiwa mafichoni njaa ikishaanza anaanza kuzunguka kutafuta maakuli na hapo ndio hukutana na wenyewe.
Wapo aliyekwambia kakudanganya tena sana tu.Hivi siku hizi bado kuna watu wanazamiaga kwa meli kwenda Ulaya?
Alafu nasikia eti wa-Nigeria na ujanja wao wote wa kujaa Ulaya wameshindwa kujazana Urusi.
Hakika Russians are no joke...!!!!
Russia na China maisha ni magum kama ya Tanzania ukimbilie ukatafute nini?Hivi siku hizi bado kuna watu wanazamiaga kwa meli kwenda Ulaya?
Alafu nasikia eti wa-Nigeria na ujanja wao wote wa kujaa Ulaya wameshindwa kujazana Urusi.
Hakika Russians are no joke...!!!!
Nashukuru kwa Ufafanuzi na Uchambuzi wako mzuri Mkuu japo sijui ni kwanini umeamua 'Kuificha' hiyo Meli yako ya Linea Mesina kama sijaikosea.
Pimbi mkubwa Wewe eti South Afrika halafu nawe kabisa unajiita hadi 'Kujimwambafai' kuwa ni JF Great Thinker wakati ni 'Popoma' tu uliyetukuka.Ok RSA nyau wewe
Alafu we jamaa unajionaga kichwa kumbe fisi maji tuPimbi mkubwa Wewe eti South Afrika halafu nawe kabisa unajiita hadi 'Kujimwambafai' kuwa ni JF Great Thinker wakati ni 'Popoma' tu uliyetukuka.
Nimecheka sana Mkuu kwani ulichokiandiak kinakaribiana na ukweli niliopewa japo nimeambiwa kuwa hata tabia ya Kunya kila mara ni sababu pia.Shida ya watanzania sio wavumilivu. Akiwa mafichoni njaa ikishaanza anaanza kuzunguka kutafuta maakuli na hapo ndio hukutana na wenyewe.
Nikupunguzie kidogo 'IQ' yangu ili nawe 'utambe' huko ( hapo ) ulipo na usiendelee kuonekana 'Mpumbavu / Popoma' kama ambavyo upo sasa?Alafu we jamaa unajionaga kichwa kumbe fisi maji tu
Huwezi kudandia meli bongo,wengi huenda mombasa au south africa kudandia pipa.Au ndio wale wanaozamia bandarini kisha wanakaa wiki tatu na kuibukia Coco Beach?
Wabongo wamezidi! kuna mzamiaji alisimulia walizamia kwenye meli, usiku wakawa wanatoka mafichoni wanaenda kutafuta maakuli, walipozoea mazingira wakawa wanatafuta hadi pombe wazimue vichwa.hapa kidogo nitofautiane na wewe.Njaa haina bouncer ni sawa na mtu anayewashwa sikio hata akiwa bouncer lazima akiweka kijiti sikioni akipikisha atatulia tuli ni sawa na njaa hata Mike Tyson angekuwa amejificha njaa ikimshika angejitokeza tu
Hilo swali hata mimi nilitaka kuuliza.Hivi siku hizi bado kuna watu wanazamiaga kwa meli kwenda Ulaya?
Alafu nasikia eti wa-Nigeria na ujanja wao wote wa kujaa Ulaya wameshindwa kujazana Urusi.
Hakika Russians are no joke...!!!!
Fanya kautafiti kidogo na pia ulizauliza namba ya Wanigeria waliopo Russia, ni kubwa sana.Hivi siku hizi bado kuna watu wanazamiaga kwa meli kwenda Ulaya?
Alafu nasikia eti wa-Nigeria na ujanja wao wote wa kujaa Ulaya wameshindwa kujazana Urusi.
Hakika Russians are no joke...!!!!
Alafu mahaya yenye asili ya Rwanda ndo yanaongoza kwa misifa ya kijingaNikupunguzie kidogo 'IQ' yangu ili nawe 'utambe' huko ( hapo ) ulipo na usiendelee kuonekana 'Mpumbavu / Popoma' kama ambavyo upo sasa?
Russia utopolo mtupu umejaa huko nikafanye nini, wao wanakimbia kwao RussiaHivi siku hizi bado kuna watu wanazamiaga kwa meli kwenda Ulaya?
Alafu nasikia eti wa-Nigeria na ujanja wao wote wa kujaa Ulaya wameshindwa kujazana Urusi.
Hakika Russians are no joke...!!!!
Hoja nyepesi sana hii kutoka kwa Juha / Pumbavu!Alafu mahaya yenye asili ya Rwanda ndo yanaongoza kwa misifa ya kijinga