Ni kwanini Watanzania ( Wabongo ) wanaozamia katika Meli kwenda Bondeni au Mamtoni 'hushtukiwa' haraka 'Melini' kuliko Waafrika wengine?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,054
107,538
Nimetaarifiwa kuwa kama kuna Waafrika ambao ni 'Mafundi' wa 'Kujificha' katika 'Meli' wakiwa 'wanazimia' zao kwenda ama Bondeni ( Afrika Kusini ) au Mamtoni ( Nchi za Ulaya ) kabisa na 'hawashtukiwi' hadi wanafika ni Raia wa Nigeria, Senegal, Cameroon, Mali na Congo DR ila kwa Watanzania 'hudakwa' mapema tu Meli ikiwa inakata zake Kona Pwani ya Magogoni Feri / Kigamboni.

Je, sababu ni zipi labda? Kuna sababu moja 'nimepenyezewa' kila nikiikumbuka nabaki Kuvunjika Mbavu ( Kucheka ) tu hivyo ngoja niangalie kama na hapa nitapewa / nitaiona kutoka kwa Wadau Wabobezi na Werevu ( JamiiForums Members ) Na si vibaya pia kama kuna Mtanzania 'aliyezamia' na 'hakushtukiwa' katika Meli akajitokeza kutuambia Yeye aliwezaje pia Kuikamilisha hiyo Safari yake.
 
Hivi siku hizi bado kuna watu bado wanazamiaga kwa meli kwenda Ulaya?

Alafu nasikia eti wa-nigeria na ujanja wao wote wa kujaa Ulaya wameshindwa kujazana Urusi.

Hakika Russians are no joke...!!!!
Unaweza usisikie kwa hapa Tanzania au kwa sasa likawa linafanyika kwa 'Ujanja' mwingine, ila bado kuna 'Njemba' zinadandia sana 'Meli' Kuzamia.
 
Nimetaarifiwa kuwa kama kuna Waafrika ambao ni 'Mafundi' wa 'Kujificha' katika 'Meli' wakiwa 'wanazimia' zao kwenda ama Bondeni ( Afrika Kusini ) au Mamtoni ( Nchi za Ulaya ) kabisa na 'hawashtukiwi' hadi wanafika ni Raia wa Nigeria, Senegal, Cameroon, Mali na Congo DR ila kwa Watanzania 'hudakwa' mapema tu Meli ikiwa inakata zake Kona Pwani ya Magogoni Feri / Kigamboni.

Je, sababu ni zipi labda? Kuna sababu moja 'nimepenyezewa' kila nikiikumbuka nabaki Kuvunjika Mbavu ( Kucheka ) tu hivyo ngoja niangalie kama na hapa nitapewa / nitaiona kutoka kwa Wadau Wabobezi na Werevu ( JamiiForums Members ) Na si vibaya pia kama kuna Mtanzania 'aliyezamia' na 'hakushtukiwa' katika Meli akajitokeza kutuambia Yeye aliwezaje pia Kuikamilisha hiyo Safari yake.
Hao ni wa miaka hii.

Zamani kuanzia 1990s kurudi nyuma kuzamia kulikuwa kwaambatana na kufahamu lugha kama ya kiingereza ambayo ilisaidia kuelezea shida yako kwa nahodha.

Nahodha akiingiwa huruma na hapo mwazungumza mkiwa Durban, anaweza kabisa kukusaidia kwa kukupa kazi za kusafisha humo ndani ya meli.

Mkizungumza huku mkiwa ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki yaani eneo la bahari ya Hindi huwa ni shida.

Ila wale walofanikiwa kufika nchi za Italia, Ureno, Uingereza, Ubelgiji na Ireland wametumia meli moja maarufu sana ambayo sitaitaja hapa kwa sababu mbalimbali.

Hiyo meli ukiitumia uzuri basi wafika katika hizo nchi bila shida na watakiwa kufahamu tu kiasi lugha ili kuwasiliana uzuri na wenye meli.

Hiyohiyo meli wengi wa watanzania ambao walikuwa wana nia khasa ya kuzamia na sasa wapo Afrika Kusini, wameitumia na imetia nanga kwenye bandari za Beira, Maputo, Durban na Cape Town.

Umeanzisha uzi mzuri na ngoja tudadavue kidogo madaftari yetu ya zamani.
 
NIMEPIGA SANA DEIWAKA PALE BANDARINI,SUALA LA KUZAMIA MELI KWA SASA NI NDOTO.
Meli nyingi kwa sasa zimefungwa CCTV camera kwa hiyo ni rahisi sana kuonekana na mala nyingi kabla ya kuingia unakabishi kitambulisho chako
 
Hao ni wa miaka hii.

Zamani kuanzia 1990s kurudi nyuma kuzamia kulikuwa kwaambatana na kufahamu lugha kama ya kiingereza ambayo ilisaidia kuelezea shida yako kwa nahodha.

Nahodha akiingiwa huruma na hapo mwazungumza mkiwa Durban, anaweza kabisa kukusaidia kwa kukupa kazi za kusafisha humo ndani ya meli.

Mkizungumza huku mkiwa ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki yaani eneo la bahari ya Hindi huwa ni shida.

Ila wale walofanikiwa kufika nchi za Italia, Ureno, Uingereza, Ubelgiji na Ireland wametumia meli moja maarufu sana ambayo sitaitaja hapa kwa sababu mbalimbali.

Hiyo meli ukiitumia uzuri basi wafika katika hizo nchi bila shida na watakiwa kufahamu tu kiasi lugha ili kuwasiliana uzuri na wenye meli.

Hiyohiyo meli wengi wa watanzania ambao walikuwa wana nia khasa ya kuzamia na sasa wapo Afrika Kusini, wameitumia na imetia nanga kwenye bandari za Beira, Maputo, Durban na Cape Town.

Umeanzisha uzi mzuri na ngoja tudadavue kidogo madaftari yetu ya zamani.
Mkuu, shikamoo kwa maelezo haya. Hakika wewe ni mkongwe.
 
Hao ni wa miaka hii.

Zamani kuanzia 1990s kurudi nyuma kuzamia kulikuwa kwaambatana na kufahamu lugha kama ya kiingereza ambayo ilisaidia kuelezea shida yako kwa nahodha.

Nahodha akiingiwa huruma na hapo mwazungumza mkiwa Durban, anaweza kabisa kukusaidia kwa kukupa kazi za kusafisha humo ndani ya meli.

Mkizungumza huku mkiwa ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki yaani eneo la bahari ya Hindi huwa ni shida.

Ila wale walofanikiwa kufika nchi za Italia, Ureno, Uingereza, Ubelgiji na Ireland wametumia meli moja maarufu sana ambayo sitaitaja hapa kwa sababu mbalimbali.

Hiyo meli ukiitumia uzuri basi wafika katika hizo nchi bila shida na watakiwa kufahamu tu kiasi lugha ili kuwasiliana uzuri na wenye meli.

Hiyohiyo meli wengi wa watanzania ambao walikuwa wana nia khasa ya kuzamia na sasa wapo Afrika Kusini, wameitumia na imetia nanga kwenye bandari za Beira, Maputo, Durban na Cape Town.

Umeanzisha uzi mzuri na ngoja tudadavue kidogo madaftari yetu ya zamani.
kaka bila shaka wewe ni mdigo wa tanga au mombasa. nimevutiwa na uandishi wako.
 
Hao ni wa miaka hii.

Zamani kuanzia 1990s kurudi nyuma kuzamia kulikuwa kwaambatana na kufahamu lugha kama ya kiingereza ambayo ilisaidia kuelezea shida yako kwa nahodha.

Nahodha akiingiwa huruma na hapo mwazungumza mkiwa Durban, anaweza kabisa kukusaidia kwa kukupa kazi za kusafisha humo ndani ya meli.

Mkizungumza huku mkiwa ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki yaani eneo la bahari ya Hindi huwa ni shida.

Ila wale walofanikiwa kufika nchi za Italia, Ureno, Uingereza, Ubelgiji na Ireland wametumia meli moja maarufu sana ambayo sitaitaja hapa kwa sababu mbalimbali.

Hiyo meli ukiitumia uzuri basi wafika katika hizo nchi bila shida na watakiwa kufahamu tu kiasi lugha ili kuwasiliana uzuri na wenye meli.

Hiyohiyo meli wengi wa watanzania ambao walikuwa wana nia khasa ya kuzamia na sasa wapo Afrika Kusini, wameitumia na imetia nanga kwenye bandari za Beira, Maputo, Durban na Cape Town.

Umeanzisha uzi mzuri na ngoja tudadavue kidogo madaftari yetu ya zamani.
Nashukuru kwa Ufafanuzi na Uchambuzi wako mzuri Mkuu japo sijui ni kwanini umeamua 'Kuificha' hiyo Meli yako ya Linea Mesina kama sijaikosea.
 
NIMEPIGA SANA DEIWAKA PALE BANDARINI,SUALA LA KUZAMIA MELI KWA SASA NI NDOTO.
Meli nyingi kwa sasa zimefungwa CCTV camera kwa hiyo ni rahisi sana kuonekana na mala nyingi kabla ya kuingia unakabishi kitambulisho chako
Unaonekana ulikuwa unaandika ukiwa na haraka sana hadi 'Kuyakosea' maneno kama mara ( mala ) na unakabidhi ( unakabishi ) Pole sana Mkuu.
 
NIMEPIGA SANA DEIWAKA PALE BANDARINI,SUALA LA KUZAMIA MELI KWA SASA NI NDOTO.
Meli nyingi kwa sasa zimefungwa CCTV camera kwa hiyo ni rahisi sana kuonekana na mala nyingi kabla ya kuingia unakabishi kitambulisho chako
Hiyo ni kwasababu siku hizi huwezi zamia meli huku ukiwa huna hata cheti kimoja cha masuala ya melini.

Watakiwa kusomea hata upishi pale Forodhani ili ukikwapuliwa huko ulikojificha basi wasema "nina cheti hiki hapa".

Nahodha atakwambia "Cook for me a nice food I want to eat".

Hapo ndio ufahamu ni fursa ya kwako kupika chakula ambacho wakiishakula watakihitaji tena na na utakuwa ni mmoja wa Chefs in their kitchen.
 
Kuna haja ya kupimwa Tezi dume,kifadulo,ukichaa iwapo utaokotwa unazamia kuelekea SOUTH AFRIKA.
 
Kuna haja ya kupimwa Tezi dume,kifadulo,ukichaa iwapo utaokotwa unazamia kuelekea SOUTH AFRIKA.
Duniani kuna nchi iitwayo South Afrika? Naungana nawe kabisa kwa kusema 'South Afrika' kweli huko Kupimwa 'Ukichaa' kuanzie Kwako haraka tu.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom