Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,181
- 3,547
wakati ninasoma kuna watu tulikuwa tunawaita wasongolist na wengine tulikuwa tunawaita ma geneous.
hawa watu kwa kifupi ni wale watu ambao darasani walikuwa wanafanya vizuli darasani walikuwa wana perform vizuli na sio darasani hata makazini ni watu ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na wana vyeo vya juu sana wanapokuwa wapo kazini
ila kinachonishangaza watu wa aina hii wakishastaafu kazi au wakiwa wamemaliza shule wapo kitaa unawakuta karibia wengi maisha yanawashinda ule uwezo wake wa kiakili na kupambanua mambo akirudi mtaani anashidwa kuutumia ili kupambana na maisha
kuna wazee nawafahamu ukisoma historia yake tangu akiwa shuleni anafaulu sana hadi anaajiriwa serikali na wengine kufikia level ya wakurugenzi na makatibu wa wakuu n.k
lakini watu hawa hawa baada ya kumaliza kufanya kazi na kustaafu na kurudi mtaani huwa wanaishi maisha magumu sana yaani unamkuta mtu maisha ya mtaani yanamshinda kabisaa anashidwa kupambana kabisa wengine unawakuta wako stressed na maisha.
je tatizo ni nini hapo lakini
hawa watu kwa kifupi ni wale watu ambao darasani walikuwa wanafanya vizuli darasani walikuwa wana perform vizuli na sio darasani hata makazini ni watu ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana na wana vyeo vya juu sana wanapokuwa wapo kazini
ila kinachonishangaza watu wa aina hii wakishastaafu kazi au wakiwa wamemaliza shule wapo kitaa unawakuta karibia wengi maisha yanawashinda ule uwezo wake wa kiakili na kupambanua mambo akirudi mtaani anashidwa kuutumia ili kupambana na maisha
kuna wazee nawafahamu ukisoma historia yake tangu akiwa shuleni anafaulu sana hadi anaajiriwa serikali na wengine kufikia level ya wakurugenzi na makatibu wa wakuu n.k
lakini watu hawa hawa baada ya kumaliza kufanya kazi na kustaafu na kurudi mtaani huwa wanaishi maisha magumu sana yaani unamkuta mtu maisha ya mtaani yanamshinda kabisaa anashidwa kupambana kabisa wengine unawakuta wako stressed na maisha.
je tatizo ni nini hapo lakini