Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,250
- 1,285
👍Wamezidi kuwa tegemezi na kupenda kulelewa, sasa hapo atakua na sauti kweli?
👍Wamezidi kuwa tegemezi na kupenda kulelewa, sasa hapo atakua na sauti kweli?
Hawana nguvu za kiume, sauti waitowe wapi?Sijui ni nini kimetokea lakini wanaume walio wengi siku hizi hawana kabisa mbele ya wanawake zao inafika hatua mwanaume anaendeshwa kama gali bovu
Yaani hata ile nguvu ya kumfokea mwanamke wake au kumuonya hana kabisa mwanamke ndo ana sauti ndani ya nyumba lakini pia hata ndani mahusiano wanaume wengi pia hawana sauti ule uwezo wa mwanaume akiongea kuwa na sauti haupoo.
Tatizo ni nini
Pia tunavibamia tunaanzaje kufoka?1.Hawana hela
2. Hawana shamba
3. Hawana nguvu za kiume
4. Ni wavivu kutafuta
5. Wanapenda kufuatilia series tu
6. Hawapendi majukumu kama baba hivyo bora awe legelege ili amtegee mke.
Sent using Jamii Forums mobile app
inaweza isiishe pia