Ni kwanini wanaume wengi siku hizi hawana sauti ndani ya mahusiano na pia ndani ya ndoa?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Sijui ni nini kimetokea lakini wanaume walio wengi siku hizi hawana kabisa mbele ya wanawake zao inafika hatua mwanaume anaendeshwa kama gali bovu

Yaani hata ile nguvu ya kumfokea mwanamke wake au kumuonya hana kabisa mwanamke ndo ana sauti ndani ya nyumba lakini pia hata ndani mahusiano wanaume wengi pia hawana sauti ule uwezo wa mwanaume akiongea kuwa na sauti haupoo.

Tatizo ni nini
 
Wanaume tumeamua tuwapuuzie hawa wanawake na tumewaruhuhusu waongee
 
Kama kumfokea na kumgombeza wife ndio unachokiita sauti ndani ya ndoa, acha kipungue tu na ikiwezekana kisiwepo kabisa.

Wapi imeandikwa mwanamke pekee ndio anakosea na anatakiwa kufokewa?

Hauwezi kuwa na sauti au jeuri ya kumfokea mkeo kama hausimami kwenye nafasi yako. Lakini ikiwa una lengo la kumwelekeza kwa staha wapi anakosea ajirekebishe, atakusikiliza tu hata kama anakuzidi kipato.
 
Fact...
Kama kumfokea na kumgombeza wife ndio unachokiita sauti ndani ya ndoa, acha kipungue tu na ikiwezekana kisiwepo kabisa.

Wapi imeandikwa mwanamke pekee ndio anakosea na anatakiwa kufokewa?

Hauwezi kuwa na sauti au jeuri ya kumfokea mkeo kama hausimami kwenye nafasi yako. Lakini ikiwa una lengo la kumweleza kwa staha wapi anakosea ajirekebishe, atakusikiliza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa wanaumwa tonsesi mkuu, kwahiyo hawawezi kukoroma. Jokes tu
Tatizo siku hizi vijana hawajiamini, na western style inawaaribu. Pia kupenda kulelewa kunawafanya wanadharirika, wanasahau wanawake wanapenda wanaume wenye konfidensi hata kama huna hela
 
Sijui ni nini kimetokea lakini wanaume walio wengi siku hizi hawana kabisa mbele ya wanawake zao inafika hatua mwanaume anaendeshwa kama gali bovu

Yaani hata ile nguvu ya kumfokea mwanamke wake au kumuonya hana kabisa mwanamke ndo ana sauti ndani ya nyumba lakini pia hata ndani mahusiano wanaume wengi pia hawana sauti ule uwezo wa mwanaume akiongea kuwa na sauti haupoo.

Tatizo ni nini

Ni ishu yenye wigo mpana sana, kama mwanamke mcharuko na kipesa hauko vizuri na labda mke awe mtumishi au mfanyabiashara hali kama hio ni kawaida sana, ikitokea umeyumba kipesa au kama mwanamke anakawaida ya kuchangia matumizi na akawa na tabia za kuchepuka yaani ukiyumba kipesa full jeuri na neno tuachanane au toka niache kawaida sana, saa ingine kimboto cha mchepuko, matumaini ya maisha mazuri aliyotegemea kama hayaji na pengine hukupendwa kbsa alikujia security ya maisha yako hasa labda cheo na kazi yako tarajia hayo, kingine uumwe then utafutaji upungue, na vingine mathalani ukiwa na changamoto za madeni au vimadeni hivyo sehemu ya kipato kikitumika kulipa madeni pia hua shida, wengine wanasema kama kiwango cha ufumaji wa shoo na hasa kama kakulinganisha na mchupaka, esp.uwe na pressure, kisukari..etc..na hasa ndoa zisizo na nguzo imara ya KiMungu ndani ya mwanamke huo ni shida, Bwana awabariki Gdmon wote!!!..
 
Jamaa siku hizi zimebakisha ubeby ubeby , nakutaka kuonekana wana mapenzi ya kizungu ,basi uzungu umekua mwingiiii mpaka umepitiliza.


Ukisimama kama mwanaume, hata kama kakuzidi kipato lazima awe mpole.


Anapohitaji kufokewa, Foka na onyesha kabisa wazi kua umekasirika.

Anapohitaji kuonywa, Muonye.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom