Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Amani iwe kwenu nyote Wanajopo wa jf mlio ndani ya ndoa na wale ambao katika sehemu ya maisha yao walipata wasaa wa kufunga ndoa na kuishi kwenye ndoa kabla ya kuachana, tunaomba mtumegee siri ya kambi.
Nahitaji kufahamu ni kwa nini wawili hawa walioamua kuoana,
1. wakaandaa kadi za michango ya harusi
2. wakafanya vikao vya kamati ya sherehe,
3. wakaandaa na kusambaza kadi za mwaliko wa sherehe,
4. wakapokea wadau ukumbini kwenda kuwasherekea na kuwa spoil kwa zawadi za kila aina, uamua kuachana bila kujali hatua walizopitia hadi kufikia hatua ya kuitwa wanandoa.
Maswali:
1. Ni kwanini wanandoa (baadhi) huamua kuachana baadae ?
"Why do people get married to divorce later?"
2. Nini kifanyike ili watu hawa wasifikie maamuzi ya kuachana?
Mshiriki maalumu ni "stone" mwenyewe.
Nahitaji kufahamu ni kwa nini wawili hawa walioamua kuoana,
1. wakaandaa kadi za michango ya harusi
2. wakafanya vikao vya kamati ya sherehe,
3. wakaandaa na kusambaza kadi za mwaliko wa sherehe,
4. wakapokea wadau ukumbini kwenda kuwasherekea na kuwa spoil kwa zawadi za kila aina, uamua kuachana bila kujali hatua walizopitia hadi kufikia hatua ya kuitwa wanandoa.
Maswali:
1. Ni kwanini wanandoa (baadhi) huamua kuachana baadae ?
"Why do people get married to divorce later?"
2. Nini kifanyike ili watu hawa wasifikie maamuzi ya kuachana?
Mshiriki maalumu ni "stone" mwenyewe.