GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,545
- 108,873
Kama kawaida najua hapa JamiiForums kuna Watu Wajuvi ( Pundits ) kabisa wa Mambo haya na mbalimbali hivyo hamtoshindwa 'Kunielimisha' Mimi Ngumbaru ( Layman ) niliyetukuka.
Sina uhakika sana ila nimewahi kuona mahala ( katika Bandiko ) kuwa Majasusi ( Manjagu ) wa nchi ya Rwanda 'wanaogopeka' mno Ukanda huu kwakuwa Rwanda imeingia Makubaliano 'Maalum' ya kupeleka huko Watu wake ili 'wakapikwe' na 'wakaivishwe' vyema na Wayahudi ambao inasemekana kuwa ndiyo 'Mama' wa Sekta hii duniani.
Sina uhakika sana ila nimewahi kuona mahala ( katika Bandiko ) kuwa Majasusi ( Manjagu ) wa nchi ya Rwanda 'wanaogopeka' mno Ukanda huu kwakuwa Rwanda imeingia Makubaliano 'Maalum' ya kupeleka huko Watu wake ili 'wakapikwe' na 'wakaivishwe' vyema na Wayahudi ambao inasemekana kuwa ndiyo 'Mama' wa Sekta hii duniani.