Tumelegeza kidogo u-serious umezidi mkuu. Angalau tu refresh, bado tunazungumzia Afya tuko pamoja 🤣🤣🤣Uzi umechange kutoka kuomba kupatiwa ufumbuzi mpaka kuwa simulizi na mikasa
Bongo shida sanaUzi umechange kutoka kuomba kupatiwa ufumbuzi mpaka kuwa simulizi na mikasa